Wako wapi watu hawa?

Wako wapi watu hawa?

Huyo nora c alishawahi kuolewa na mganga w kienyeji huko bostwana sas cjui yuko wapi
 
Muumini ana band yake ambayo makao makuu na kahama ivyo anatimbuiza katika mikoa ya kanda ya ziwa na wilaya zake kama bukoba,biharamlo,ngara,geita,katoro nk
 
'Bahambuzi' yuko Polisi Moro kwa mkopo.
1.Muumini yupo kitaa yupo bendi moja ya kichovu..
2.Misanya yupo UDSM...
3.Bahanuzi striker wa Kagame,bado anakalia mkeka Jangwani..
4.Mama John Terry...sifahamu alipo..
 
misanya alipoondoka redio wani na itv sisi wapenzi sugu wa bongo flava enzi zile tulihuzunika na kulalamika sanaa. Ila nilisikia huyu mrangi aliondoka kwa ajili ya fitina dhidi yake pale sambamba na legindary julius nyaisanga. Yani wewe deo rweyemamu
deo rweyemamu = deo rwegemalira
 
Nimejiuliza nikakosa jibu kwamba yuko wapi:
1. Mwimjuma Muumini(kocha wa dunia)
2. Mama Tery(radio one)
3. Bahanuzi( yanga)
4. Misanya Bingi(radio one)
kama wapo wengne ongeza

Wa Kwanza Anagangaa Njaa Dar Na Bagamoyo Na Kila J'mosi Hutamkosa Pale Mango Kinondoni Akigongea Bierre.
Wa Pili Tokea Aanze Ku GEGEDWA Na Mheshimiwa ( Jina Nalihifadhi ) Alikuwa Waziri Na Sasa Ni Balozi Nae Ametulia.
Wa Tatu Said Bahanuzi Sasa Anachezea Kwa Mkopo Timu Ya Polisi Ya Morogoro Na Jana Tu Katupia Kamoko.
Wa Nne Sasa Ni Mhadhiri Chuo Kikuu UDSM Na Hivi Karibuni Tu Atapata Doctorate Yake.

Nawasilisha......
 
Muunini yupo G 5 modern taarab wenyeji wa mji huu na ana nyimbo yake inaitwa kigodoro kimelowa maji
 
Mama Terry ccm walimtenda,anauza bazee za Kinaijeria
 
13. Iddi ligongo biko
14. Sinta
15.John dilinga jd
16.abubakar sadiq kwa fujo
18.nyamayao
19. Rp mtoto wa remmy kale kasichana kaliimba achana nao bongo fleva alikuwa na bifu kali na zei b.
20. Crazy gk dah huyu jamaa kwenye wimbo wa sister sister

Iddi Ligongo yupo V.O.A upande wa Radio
 
Muumini.jpg
Misanya Bingi.jpg
Mama Terry.jpg
 
Nyamayao anakuja na kundi la sanaa la uigizaji linaloitwa KAONE GROUP, yupo huyu dada wa enzi za kina Muhogomchungu
 
Back
Top Bottom