13. Iddi ligongo biko
14. Sinta
15.John dilinga jd
16.abubakar sadiq kwa fujo
18.nyamayao
19. Rp mtoto wa remmy kale kasichana kaliimba achana nao bongo fleva alikuwa na bifu kali na zei b.
20. Crazy gk dah huyu jamaa kwenye wimbo wa sister sister
Nimejiuliza nikakosa jibu kwamba yuko wapi:
1. Mwimjuma Muumini(kocha wa dunia)
2. Mama Tery(radio one)
3. Bahanuzi( yanga)
4. Misanya Bingi(radio one)
kama wapo wengne ongeza
5. Roy maganga
6. Emmanuel Gabriel mwakyusa
7. Mohamedi mwameja
8. Lazaro matarange
9. Patric betwel
Du muumini alikuwa jembe
1.Muumini yupo kitaa yupo bendi moja ya kichovu..
2.Misanya yupo UDSM...
3.Bahanuzi striker wa Kagame,bado anakalia mkeka Jangwani..
4.Mama John Terry...sifahamu alipo..
Wapi swebe....
Huyo nora c alishawahi kuolewa na mganga w kienyeji huko bostwana sas cjui yuko wapi
Iddi Ligongo yupo Marekani na VOA the last time I checked is 2010 kama sijakosea alipoondoka Femina
mkuu vipi mbona unataja marehemu?
kwanza una shida nao gani sio utupe tabu kukwambia walipo kwa habari za kimbea na kishakunaku
Huyo nora c alishawahi kuolewa na mganga w kienyeji huko bostwana sas cjui yuko wapi
13. Iddi ligongo biko
14. Sinta
15.John dilinga jd
16.abubakar sadiq kwa fujo
18.nyamayao
19. Rp mtoto wa remmy kale kasichana kaliimba achana nao bongo fleva alikuwa na bifu kali na zei b.
20. Crazy gk dah huyu jamaa kwenye wimbo wa sister sister
wamefariki wote hao? Hebu nijuze zaidi
acha wehu wewe mtu kila siku anaonekana ITVWapi Double G Godwin Gondwe. pale.