Wako wapi watu hawa?

Wako wapi watu hawa?

Misanya bingi ni lecturer udsm na sasa hivi anapiga phd,bahanuzi yuko kwa mkopo polisi morogoro mama terry sasa hivi ni mwanaharakati na mchambuzi wa masuala ya kisiasa hasa za kimataifa kuna siku nilimuona tbc ccm kwenye kipindi cha nyumba ya jirani cha hasan marin

Misanya Bingi amepata Phd yake Udsm,November mwaka Jana.
 
1.Muumini yupo kitaa yupo bendi moja ya kichovu..
2.Misanya yupo UDSM...
3.Bahanuzi striker wa Kagame,bado anakalia mkeka Jangwani..
4.Mama John Terry...sifahamu alipo..

Bahanuzi bado yuko yanga? anatafuta nini? Halafu wakuu vipi mimi mbona hamniweki kwenye list zenu? bora mimi kuliko Bahanuzi.
 
Back
Top Bottom