nimejiuliza nikakosa jibu kwamba yuko wapi:
1. Mwimjuma muumini(kocha wa dunia)
2. Mama tery(radio one)
3. Bahanuzi( yanga)
4. Misanya bingi(radio one)
kama wapo wengne ongeza
Asante. Huyu Misanya anasoma au anafundisha? Na kama anafundisha atakuwa dept ipi?
6.jacob tesha paul 7.padri john haule 8.karim besta 9.sara dumba 10.malima nderema kipindi mkoa kwa mkoa 11.tambwe hiza 12.ben kiko.
13. Iddi ligongo biko6.jacob tesha paul 7.padri john haule 8.karim besta 9.sara dumba 10.malima nderema kipindi mkoa kwa mkoa 11.tambwe hiza 12.ben kiko.
hahahaa ni kumjulisha tu hili ni jukwaa huru.Wewe sasa unachokitafuta sicho! Mwisho utataka kujua hadi vyoo wanavyotumia kujisaidia. Unataka kwenda kuwamwagia tindikali?
ila joti hakumtendea haki kabisa muumini mwinjuma.wabongo tuna furahia Sana mwenzetu hakifulia.1.Muumini yupo kitaa yupo bendi moja ya kichovu..
2.Misanya yupo UDSM...
3.Bahanuzi striker wa Kagame,bado anakalia mkeka Jangwani..
4.Mama John Terry...sifahamu alipo..
Asante. Huyu Misanya anasoma au anafundisha? Na kama anafundisha atakuwa dept ipi?
mkuu mwenyeji asili ya dar kama unawafaham walipo mwaga data tumtendee haki mleta uzi.kwanza una shida nao gani sio utupe tabu kukwambia walipo kwa habari za kimbea na kishakunaku
misanya alipoondoka redio wani na itv sisi wapenzi sugu wa bongo flava enzi zile tulihuzunika na kulalamika sanaa. Ila nilisikia huyu mrangi aliondoka kwa ajili ya fitina dhidi yake pale sambamba na legindary julius nyaisanga. Yani wewe deo rweyemamuMisanya nilikutana nae Mirerani alikuwa kwenye tafti fulani ya masuala ya madini na simanjiro was the pilot area. Alinambia anamalizia PHD yake pale mlimani nadhani ss atakuwa tayari ashakula nondo ya udaktari wa kutabu siyo wa kupewa na wachina.
kwanza una shida nao gani sio utupe tabu kukwambia walipo kwa habari za kimbea na kishakunaku
13. Iddi ligongo biko
14. Sinta
15.John dilinga jd
16.abubakar sadiq kwa fujo
18.nyamayao
19. Rp mtoto wa remmy kale kasichana kaliimba achana nao bongo fleva alikuwa na bifu kali na zei b.
20. Crazy gk dah huyu jamaa kwetnye wimbo wa sister sister
heshima yako mkuu. Nashukuru sana.John dilinga jd anaproject yake inaitwa the legend is back anapiga disco (old skul) isumba lounge pale jolly club zamani pia anafanya kipindi cha mtaa wa mangoma radio one kila jumamosi saa 5-7 mchana akiwa na abubakar sadiq.
Crazy gk wanarudi tena kana east coast team na kina mwanaFA, AY wameanza project hiyo MJ records wakiwa na wenzao Buff G pamoja na snare. (Team nzima ya east coast)
13. Iddi ligongo biko
14. Sinta
15.John dilinga jd
16.abubakar sadiq kwa fujo
18.nyamayao
19. Rp mtoto wa remmy kale kasichana kaliimba achana nao bongo fleva alikuwa na bifu kali na zei b.
20. Crazy gk dah huyu jamaa kwenye wimbo wa sister sister