Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 401
Nakumbuka miaka iliyopita Mwl. Nyerere alisimama na kuwanyooshea kidole watawala wa CCM na serikali kwa kuiingiza nchi kwenye OIC na pia alishawahi kumnyooshea kidole fisadi Lowasa alipotaka kugombea uraisi.
Hivi siku hizi wenye ujasiri huo ndani ya CCM wako wapi? Alitokea Hans Kitine akasema CCM imekosa mwelekeo akashukiwa na nyundo kadhaa moja wapo ya mzee wetu mmoja aliyesema ' huyu (Kitine)anataka kutoboa meli yetu tukiwa bado kilindini anastahili kutoswa'
Hivi siku hizi wenye ujasiri huo ndani ya CCM wako wapi? Alitokea Hans Kitine akasema CCM imekosa mwelekeo akashukiwa na nyundo kadhaa moja wapo ya mzee wetu mmoja aliyesema ' huyu (Kitine)anataka kutoboa meli yetu tukiwa bado kilindini anastahili kutoswa'