lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,147
- 33,302
Nani ni nani Kati ya hawa waigizaji machachari wa CCM?wako wapi Sasa na wanafanya Nini?
Hawa ni January Makamba,Nape Mnauye na Mwigulu Mchemba.
Kwangu Mimi The Good nite January,The Bad ni Nape and the Ugly na Mwigulu.
Regendary Hawa wako wapi?
CCM ingekua chama cha Upinzani wangekua bado wamo Chamani?
Aliyoyafanya January kwa wapinzani mnayajua,
Aliyoyafanya Nape kwa wapinzani mnayajua, na
Aliyoyafanya Mwigulu kwa wapinzani mnayajua.
Ni Nani alyewaumiza wapinzani zaidi?
Hawa ni January Makamba,Nape Mnauye na Mwigulu Mchemba.
Kwangu Mimi The Good nite January,The Bad ni Nape and the Ugly na Mwigulu.
Regendary Hawa wako wapi?
CCM ingekua chama cha Upinzani wangekua bado wamo Chamani?
Aliyoyafanya January kwa wapinzani mnayajua,
Aliyoyafanya Nape kwa wapinzani mnayajua, na
Aliyoyafanya Mwigulu kwa wapinzani mnayajua.
Ni Nani alyewaumiza wapinzani zaidi?