mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Wana jf.
Miaka ya nyuma kulikuwepo waburudushaji mmoja mmoja kwa wakati wake, lakini hatuwezi kuacha kuwakumbuka King Jibinso na Small Jobinso, wakati wakijiaanda kuingia jukwaani, huku nyuma kunatangulia makofi na vifijo kwa sana kabla ya kuanza kucheza, wanapoingia tu uwanjani wenye vieleele vya kutupia hela wanaanza hata kabla ya salami za utambulisho. Enzi hizi walukuwa na wafuasi wengi lakini hawakuwahi kujiunga na bendi yeyote. Nadhani hawakujiongeza wangefika mbali, walikuja kufutwa na Sura mbaya na Toto ze Bingwa Wa FM Academia
Miaka ya nyuma kulikuwepo waburudushaji mmoja mmoja kwa wakati wake, lakini hatuwezi kuacha kuwakumbuka King Jibinso na Small Jobinso, wakati wakijiaanda kuingia jukwaani, huku nyuma kunatangulia makofi na vifijo kwa sana kabla ya kuanza kucheza, wanapoingia tu uwanjani wenye vieleele vya kutupia hela wanaanza hata kabla ya salami za utambulisho. Enzi hizi walukuwa na wafuasi wengi lakini hawakuwahi kujiunga na bendi yeyote. Nadhani hawakujiongeza wangefika mbali, walikuja kufutwa na Sura mbaya na Toto ze Bingwa Wa FM Academia