Wako wapi Mashujaa wa Uhuru wa Tanganyika?

Wako wapi Mashujaa wa Uhuru wa Tanganyika?

Nawasikitikia sana vijana wanaoendelea kudanganywa na huyu kiumbe aitwae Mohamed Said,

Kwawale wasiojua historia nawaomba msiwe wavivu na kuishia kuzisoma hizi ngano tu,

Tumieni mda wenu vizuri kusaka maandishi mengine ya kujenga uelewa wenu katika historia ya nchini yetu,

Ni ajabu uongo uleule kuendelezwa kwa mlango wa nyuma huku vijana wakiendelea kushangilia bila kujua madhara yake,

Yericko,
Huenda ukapata shida sana katika haya lakini kila nilipokuwa naandika
ikawa nakuja na mambo mapya ambayo hayakuwa hadhir kabla.

Baada ya muda historia hii niliyoandika na ''paper'' nilizowasilisha ndani
na nje ya nchi zimekuwa mashuhuri na kila fursa inapotokea basi hupewa
mwaliko wa kwenda kuzungumza.

Takriban kila mwaka napata mwaliko wa kuzungumza historia hii katika vyuo
mbalimbali.

Kama nilivyokushauri wewe na jamaa zako kuwa njia nzuri ya kupambana na
kitabu changu ni kwa nyie kuandika hiyo historia yenu ya ''kweli'' lakini mkibaki
hapa JF mtaishia humu JF.
 
Au nani leo anamjua Mzee Yusuf Olotu maarufu Yusuf Ngozi wa Moshi na jitihada zake za kuipa TANU ushindi wa kishindo katika Uchaguzi wa Kura Tatu mjini Moshi. Au mchango wa Sheikh Yusuf Badi wa Lindi au mchango wa Dk Michael Lugazia, Dk Luciano Tsere, Dk Joseph Mutahangarwa, Dk Vedasto Kyaruzi, Dk Wilbard Mwanjisi na wengineo?

Kumbe haya mambo ya "Mzee" fulani vs "Dk" fulani yalianza kabla hata Mwalimu hajatawala. Lakini bado kuna watu wanalalamika kuwa Nyerere ndiye aliyebeba dini fulani...
 
Yericko,
Huenda ukapata shida sana katika haya lakini kila nilipokuwa naandika
ikawa nakuja na mambo mapya ambayo hayakuwa hadhir kabla.

Baada ya muda historia hii niliyoandika na ''paper'' nilizowasilisha ndani
na nje ya nchi zimekuwa mashuhuri na kila fursa inapotokea basi hupewa
mwaliko wa kwenda kuzungumza.

Takriban kila mwaka napata mwaliko wa kuzungumza historia hii katika vyuo
mbalimbali.

Kama nilivyokushauri wewe na jamaa zako kuwa njia nzuri ya kupambana na
kitabu changu ni kwa nyie kuandika hiyo historia yenu ya ''kweli'' lakini mkibaki
hapa JF mtaishia humu JF.

Wakristo na Waislamu wakichukiana, wakauana, wakatengana, nk kwa sababu ya chuki unazozieneza ndani na nje ya nchi wewe utafaidika nini hasa?
 
Bulesi,
Nakuwekea hapa habari za Edward Mwangosi na Job Lusinde
kama nilivyoandika katika kitabu changu :

The Founding of TANU in Central Province 1955:
[TABLE="width: 660"]
[TR]
[TD]''...Tabora began to participate in active politics in 1945 when the African Association was introduced to the township from Dodoma through the efforts of Edward Mwangosi.

***

Mwangosi's stand was that Makererians were very important to the party as they would provide the required leadership.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]A total of about forty people attended the meeting including the Makererians, among them Job Lusinde, later to become minister, and Amon Nsekela, later to hold important posts in the government including Tanzania’s High Commission to Britain.

Hassan Suleiman and Ali Ponda did not turn up for the meeting.

While they were assembling for the meeting, the officer-in-charge of the Community Center told them that he had received orders from the District Commissioner that the meeting should be cancelled and people dispersed immediately.

Alexander Kanyamara who was a wealthy African in Dodoma and a personal friend of John Rupia, now TANU Vice-President, called for the postponement of the meeting because of the absence of Hassan Suleiman and Ali Ponda-the TAA top leadership in Dodoma.

Due to this reason and the intimidating order from the DC, the meeting was cancelled without fixing a date for another meeting.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]The following morning Taratibu was arrested by the police and taken to the DC’s office, the present Prime Minister’s office.

Hassan Suleiman was there amicably chatting with the DC, Mr. Smith.

The DC started to interrogate Taratibu by asking him if he spoke English.

Taratibu replied that in the negative.

Speaking in English, Hassan Suleiman told the DC that he was the TANU secretary in Dodoma.

The DC Mr Smith accused Taratibu of forming an illegal organisation and for calling an unauthorized meeting at the Community Center the previous day which was likely to disrupt peace.

Without fear Taratibu replied that he had the mandate to call for a meeting because he was a member of a legally registered political party.

Taratibu fished out his black and green TANU card from his pocket and showed it to the DC. Mr. Smith asked Hassan Suleiman whether he too possessed a TANU card.

Hassan Suleiman had none.

Hassan Suleiman and the DC conversed in English for some time after which he asked both of them to write statements.

After writing his statement Taratibu was allowed to go home.

It is believed that at that time the only TANU members in Dodoma was Taratibu and Alexander Kanyamara who had bought his card in Dar es Salaam.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]When the Makerere graduates, who Mwangosi had put much faith in organizing the party, learned about Taratibu’s ordeal with the DC Mr Smith, they were scared.

They decided to lie low and continue with their academic pursuits at the Kikuyu Secondary School.

Haruna Taratibu and Omari Suleiman now decided to change tactics; they called for a secret meeting at night in the house of Swedi bin Athman.[1]

The meeting decided that Taratibu should go to TANU headquarters in Dar es Salaam and talk to Julius Nyerere himself on the problems facing TANU in Dodoma.

Mahdi Mwinchumu who was TANU member in Dar es Salaam volunteered to accompany Taratibu to the party headquarters since he was known by the leadership there.

Said Musa, another member of the secret committee, also volunteered to accompany Taratibu and Mwinchumu to Dar es Salaam.

On departure day, Job Lusinde went to see the secret delegation off at the railway station.

Lusinde told the delegation that Makererians were in support of all the decisions taken by the secret committee.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Bwana Bulesi,
Ikiwa hujatosheka na habari hizi nifahamishe.

[1] Another version of the founding of TANU in Dodoma is that a meetimg of other patriots was called
in which Seif Waziri Kasembo attended in the house of Salim Omari, who was also present, together
with Fulka Mwinchumu Kinyozi, Swedi Athmani Kagulu, Bakari Omari, Fundi Issa, Mzee Magwila, Manywele
Bushiri, Mzee Ibrahim Sururu Mahusi Selemani, Omari Selemani, Nassoro Mussa, Athmani Nyange and others.
It seems there was rivalry between the two groups because in a paper made available to the author by Seif
Waziri Kasembo it is stated that Haruna Taratibu assumed leadership in Party affairs without the consent of
other patriots. Interesting is the fact that some of the names mentioned by Kasembo appear in both Taratibu
and Suleiman's narration. But the two groups, that of Taratibu and that of Kasembo, came to accommodate
each other because eventually, after office bearers had been elected, Kasembo provided his house as the first
TANU office in Dodoma. Kasembo's father, Waziri Kasembo, was once president of the African Association in
Dodoma.

Tatizo langu na wewe Mohamed ni kwamba you are biased against wakisto na ndio maana hata kwenye hiyo historia ya TANU Dodoma wengi unaowataja na kuhusika na hicho chama ni waislam!! Sasa nikuulize,je huyo Edward Mwangosi alikuwa hana wenzie ambao alishirikiana nao ambao hawakuwa Makerererian au waislam? Katika utafiti wako huko Dododma hukuwahi kusikia majina ya wazee marehemu Mwakasepe, Mwakalinga na Mbowe? Hawa walifanya kazi karibu sana na marehemu Edward Mwangosi lakini nadhani it was not in your scheme of things kuwataja!!
 
mkimaliza haya ya Waislamu vs Wakristu anzeni kabisa na michango ya kikabila katika kupigania Uhuru wa Tanganyika. Sijui kama Tanganyika itaendelea kuwepo,taratibu tumeanza juu kushuka chini!!!
 
Bulesi,
Unajitisha pasi na sababu.

Watu hawauani kwa kumbukumbu za historia.

Watu huasimiana kwa kudhulumiana.
 
Bulesi
Unajitisha pasi na sababu.

Watu hawauani kwa kumbukumbu za historia.

Watu huasimiana kwa kudhulumiana.

Hizo "kumbukumbu za historia" zenye makengeza (ie kuwatukuza Waislamu tuuuu na kuwaona wengine sio kitu) ni justification ya kufanya fujo, kama Uislamu ulivyo! Ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya tu! Hata babu yenu Muhammad ambaye umerithi jina lake alifanya hivyo hivyo akawaua Wayahudi wa Khaybar bila sababu yoyote!
 
Hizo "kumbukumbu za historia" zenye makengeza (ie kuwatukuza Waislamu tuuuu na kuwaona wengine sio kitu) ni justification ya kufanya fujo, kama Uislamu ulivyo! Ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya tu! Hata babu yenu Muhammad ambaye umerithi jina lake alifanya hivyo hivyo akawaua Wayahudi wa Khaybar bila sababu yoyote!

hata unachokifanya wewe ni kupandikiza chuki kwa waislam dhidi ya wakristo, muhamad ni mtume wetu sasa unapomfanyia dhihaka tukueleweje?
 
Tatizo langu na wewe Mohamed ni kwamba you are biased against wakisto na ndio maana hata kwenye hiyo historia ya TANU Dodoma wengi unaowataja na kuhusika na hicho chama ni waislam!! Sasa nikuulize,je huyo Edward Mwangosi alikuwa hana wenzie ambao alishirikiana nao ambao hawakuwa Makerererian au waislam? Katika utafiti wako huko Dododma hukuwahi kusikia majina ya wazee marehemu Mwakasepe, Mwakalinga na Mbowe? Hawa walifanya kazi karibu sana na marehemu Edward Mwangosi lakini nadhani it was not in your scheme of things kuwataja!!

Bulesi,
Kwanza ulisema sijamtaja Edward Mwangosi sasa unaniletea majina mengine.
Mwangosi nimekuwekea taarifa zake pamoja na habari za Alexander Kanyamala.

Job Lusinde pia nimekuwekea taarifa zake pamoja na Makererians wengine
ambao baada ya kuona Haruna Taratibu kakamatwa na Waingereza kwa ajili
ya TANU wao kama wasemavyo watoto wa mjini ''wakaingia mitini.''

Hapana neno ikiwa wewe una taarifa za hawa wazalendo akina Mwakasepe,
Mwakalinga
na Mbowe ni vyema ukazileta hapa barzani ili sote tufaidike.

Kwa kweli huwezi kuaandika kiiiila kitu wako wengine utawaacha.

Mimi nilikuwa naandika historia ya TANU na wapashaji wangu habari walikuwa
Mzee Hassan Taufik Suleiman, Haruna Taratibu na Mzee Omar Suleiman.

Na hawa ndiyo walikuwa waasisi wa TANU Central Province.
Ndugu yangu ondoa woga hii ni historia na haya mambo yalitokea kama nilivyoandika.

Hakuna mtu anaechimbwa hapa.
Hiki kitabu sasa kipo mitaani takriban miaka 15 na tunakwenda toleo la tatu In Sha Allah.
 
Sijawahi kuona point za huyu mzee! Kati yake na mimi mmoja ni magumashi
 
Tatizo la mabandiko yako mzee Muddy yanafanana kila siku, hakuna jipya zaidi ya cheap politics
Hata wewe pia umekosea kwenye andiko lako kwani ilitakiwa iwe hivi;
Tatizo la mabandiko yako mzee Muddy yanafanana kila siku, hakuna jipya zaidi ya cheap poliDinis.
Jamaa hawezi kuleta andiko lolote ambalo hawezi kuliunganisha na dini yake..huyu mwanaUamsho matatizo kweli.Mi nasubiri afe ili jina lake nalo liwekwe kwenye hiyo listi anayoililia kila siku..adi tunaanza kuona kinyaa ch UDINI wake ptuu!
 
KWA TAARIFA YAKO tANZANIA HAINA SHUJAA WA UHURU. shujaa wa uhuru anapatikana katika vita vya uhuru na sio wapiga domo kama hao wooote anao wataja askofu Mohamedi saidi. Askofu Mohamedi saidi yeye anataka kuionesha kuwa wasiolamu ndio walioikomboa Tanganyika na sio wakristo.

Kwa kufanya hivyo Askofu Mohamedi saidi aangalie sana kuwa anpotosha umma na kuigawa nchi katika misingi ya kidini. Mashujaa wa uhuru wapo Israel tuu na hakuna kwingine.
 
KWA TAARIFA YAKO tANZANIA HAINA SHUJAA WA UHURU. shujaa wa uhuru anapatikana katika vita vya uhuru na sio wapiga domo kama hao wooote anao wataja askofu Mohamedi saidi. Askofu Mohamedi saidi yeye anataka kuionesha kuwa wasiolamu ndio walioikomboa Tanganyika na sio wakristo.

Kwa kufanya hivyo Askofu Mohamedi saidi aangalie sana kuwa anpotosha umma na kuigawa nchi katika misingi ya kidini. Mashujaa wa uhuru wapo Israel tuu na hakuna kwingine.

Hapo kwenye BOLD unamkusudia Mtume Paulo sio tehe tehe tehe!

Nyie wachungwaji mna khasara kubwa!

Au ni ile picha ya yule mzungu ulonunua pale stationary na kuiweka nyumbani kwako ndio inakutia uchizi?! tehe tehe tehe!
 
Hizo "kumbukumbu za historia" zenye makengeza (ie kuwatukuza Waislamu tuuuu na kuwaona wengine sio kitu) ni justification ya kufanya fujo, kama Uislamu ulivyo! Ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya tu! Hata babu yenu Muhammad ambaye umerithi jina lake alifanya hivyo hivyo akawaua Wayahudi wa Khaybar bila sababu yoyote!
Wakati Mtume salalahu alayhi wasallam anahamia Madinah kulikuwa hakuna Mayahudi Khybar (Khobar) !ila kulikuwa na makabila matatu ya Kiyahudi Madina kabla hata ya kuja Mtume.

Mayahudi walihamia Madina baada ya kusoma katika vitabu vyao kuwa kutatokea Mtume wa mwisho na ataishi Madina.

Walipofika Madina walikuta Waarabu kuwa ni Mapagani (ila wachache sana) wasiojua chochote kuhusu Mwenyezi Mungu hivyo walikuwa wakiwatambia na kuwaambia kuwa subirini Mtume wa mwisho aje, nyote mtatufuata.

Alipokuja Mtume walimuona na ishara zote zilizoandikwa katika vitabu vyao ila tatizo kwao ni kuwa Mtume alikuwa ni Mwarabu na si kutoka katika kizazi cha Wana wa Israel kama walivyokuwa wakitaka hivyo wakakataa kumfuata Mtume kwa sababu ya Uarabu wake.

Ikumbukwe kuwa makabila ya Kiyahudi yaliyoluwepo Madinah ni Banu Nadir, Banu Quraydhah na Banu Qaynuqah, wengine walikuwa wakikubali kuwa kweli Mtume ni wa haki na ametoka kwa Mwenyezi Mungu ila ni kwa Waarabu tu na si kwa Mayahudi na ulimwengu mzima (mpaka leo hii bado kuna sect ya Kiyahudi inabeba itikadi hii).

Wakati Mtume SAW anaanzisha nchi ya kwanza ya Kiislamu Madinah hakumfukuza yoyote yule ambaye hakuwa Muislamu! wote waliokuwepo Madinah wakati wa kuanzishwa taifa la Kiislamu walifanywa kuwa ni raia wa nchi wakiwemo Mayahudi.

Ni pale Mayahudi walipokuja kuisaliti nchi yao wenyewe Madinah (hebu isaliti nchi yako uone utakavyofanywa) ndipo walipotolewa nchini na kupelekwa Khaybar.

Walikuwepo Khaybar wakati wote wa maisha ya Mtume,Khalifa wa kwanza Abubakri mpaka wakati wa Khalifa wa pili Umar aliyekuja kuwaondosha na kuelekea Iraq.
 
The originator of the thread has the benefit of being close to the mashujaa wa harakati za Uhuru wa Tanganyika the major shortcoming though is his inclination towards one religion which passionately contends as being the vanguard of the Uhuru struggle but later on was systematically relegated to a novice and it's leaders persecuted!

If I may ask, Nyerere came to Dar in 1952( as the very first educated man and with inclination to modern /Westminister politics) why then was he carried shoulder high by the "John. Okello"of Then Tanganyika?

MS seem to place so much faith and sweat on money (financial resources) sacrificed by Mzee Dossa, Rupia etc but he is conviiently forgetting that money by itself is a non starter. Kama fwezais everything, Akins papa msoffe wangelikuwa meta ani. MS it takes two to tango! After all Mwalimu is not here to respond to your......
 
Back
Top Bottom