Shambaboy jogoli
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 1,223
- 1,624
Wako bize wanahamasisha makada wao wakapige kura! Nyumba kwa nyumba kitanda kwa kitanda! Twita hakuna wapiga kura! Tutakutana kesho kufurahia ushindi wa kishindoNiko kituoni na washirika wenzangu muda sasa. Kimya kimya lakini hamasa kubwa moyoni.
Iziraeli atupishilie mbali.
Tunataka haki. Inshallah kutokana na haki amani hapa itatamalaki tu.
Sala zetu kote haki na ikatendeke tukiwakumbuka wale wote waliotutangulia kwa kusimama na haki.
Nimekuwa naangalia nyuzi mbali mbali tangia jana, hata huko kwenye mitandao mingine ambako bila VPN ni kweusi. Ma lb7, mataga na mshabiki nguli wa chama mboga mboga wote wamepotea.
Au labda hawataki kutumia VPN kuitikia mapenzi ya chama chetu? Au nao ni mshabiki wa hii mitandao kupotea ikibidi moja kwa moja?
Eeh mola wetu mshindi na akatangazwe mshindi.
Amani na ikawe na kila mpenda haki.
Tunayo siku ndefu leo inshallah.
usichokijua serikali yako ndo inawatetea mashoga na ilimkana kabisa MAKONDA alipokuwa anawakamata sasa zungumza hapo nani anayetetea ushoga?Watanzania Twendeni tukamsulubu huyu msaliti wa Nchi kutoka ubeligiji
Kataa ushoga kwa vitendo
Mbuzi kweli wewe.....Niko kituoni na washirika wenzangu muda sasa. Kimya kimya lakini hamasa kubwa moyoni.
Iziraeli atupishilie mbali.
Tunataka haki. Inshallah kutokana na haki amani hapa itatamalaki tu.
Sala zetu kote haki na ikatendeke tukiwakumbuka wale wote waliotutangulia kwa kusimama na haki.
Nimekuwa naangalia nyuzi mbali mbali tangia jana, hata huko kwenye mitandao mingine ambako bila VPN ni kweusi. Ma lb7, mataga na mshabiki nguli wa chama mboga mboga wote wamepotea.
Au labda hawataki kutumia VPN kuitikia mapenzi ya chama chetu? Au nao ni mshabiki wa hii mitandao kupotea ikibidi moja kwa moja?
Eeh mola wetu mshindi na akatangazwe mshindi.
Amani na ikawe na kila mpenda haki.
Tunayo siku ndefu leo inshallah.
Duh...!, Mkuu komanyahenry , unazungumzia upinzani kushinda?, upinzani upi huo wa kushinda na wa kumshinda nani?!. Kuna watu wa kuwashinda ni wale wa kushindwa!, ugombee na wasioshindwa halafu utegemee kushinda!, hiyo ni ndoto!.Mzee Pascal Mayalla kwa dalili za awali ya yote yanayoendelea unaona kuna uwezekano wa mpinzani kushinda na kutangazwa?
Vipi na yanayoendelea kwenye chaguzi za wabunge kiasi kwamba baadhi ya wakuu wa vyombo vya usalama na wasimamizi wa uchaguzi kuweza kuweka wazi msimamo wao wa kiushabiki kwa baadhi ya vyama, mfano kule Hai?Duh...!, Mkuu komanyahenry , unazungumzia upinzani kushinda?, upinzaniupihuo wa kushinda na kumshinda nani?!, wewe unasubiri matokeo?!, mbona wenzio tumeishayatangaza matokeo toka jana!,
PUchaguzi 2020 - Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio mshindi wa jumla wa Uchaguzi huu
Wana JF, Maadam JF ni ukumbi wetu, na sisi humu JF, tuko members wengi, na tumefanya mengi, hivyo mimi member mwenzenu Pascal Mayalla, naomba niwe wa kwanza, kuwajulisha wana JF wenzangu, ili kuwapa ile JF advantage ya wewe kama Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio inakwenda kushinda...www.jamiiforums.com
Vipi na yanayoendelea kwenye chaguzi za wabunge kiasi kwamba baadhi ya wakuu wa vyombo vya usalama na wasimamizi wa uchaguzi kuweza kuweka wazi msimamo wao wa kiushabiki kwa baadhi ya vyama, mfano kule Hai?Duh...!, Mkuu komanyahenry , unazungumzia upinzani kushinda?, upinzani upi huo wa kushinda na wa kumshinda nani?!. Kuna watu wa kuwashinda ni wale wa kushindwa!, ugombee na wasioshindwa halafu utegemee kushinda!, hiyo ni ndoto!.
Wewe bado unasubiri matokeo?!, mbona wenzio tumeishayatangaza matokeo toka jana!,
PUchaguzi 2020 - Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio mshindi wa jumla wa Uchaguzi huu
Wana JF, Maadam JF ni ukumbi wetu, na sisi humu JF, tuko members wengi, na tumefanya mengi, hivyo mimi member mwenzenu Pascal Mayalla, naomba niwe wa kwanza, kuwajulisha wana JF wenzangu, ili kuwapa ile JF advantage ya wewe kama Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio inakwenda kushinda...www.jamiiforums.com
Yuko tayari kumpongeza mshindi ?!Hiki ndicho kinachokwenda kutokea, Amiri Jeshi wetu Mkuu aliitangazia dunia, uchaguzi utakuwa huru na wa haki, amani itatawala, na mshindi ndiye atatangazwa mshindi!.
Hatuutaki ule uhuni wa watu fulani zile chaguzi za nyuma, mtu aliyeshindwa anajitangaza alishinda kura zake zikaibiwa!.
Safari hii ni anayashindwa akubali kushindwa na kumpongeza mshindi.
P
Siungi mkono mashogaKamanda unaunga mkono ushoga ?
Watanzania Twendeni tukamsulubu huyu msaliti wa Nchi kutoka ubeligiji
Kataa ushoga kwa vitendo
Siungi mkono mashoga
soma vizuri nilichokiandika
sheria hairuhusu kuingilia faragha ya mtu. maana yake mambo yake ya siri yakiwemo ya mtandaoni ya kifamilia ya chumbani na mengine yooote ambayo ni faragha yake huruhusiwi kufatilia kazi hiyo inafanywa na watu husika wa vitengo tena kwa kibali.
ndio maana Makonda alipokuwa anawakamata mashoga serikali haikumuunga mkono na kusema haihusiki ila makonda anafanya kwa matakwa yake.
iweje leo LISSU anapozungumza jambo kulingana na sheria iliyopo mseme anatetea mashoga?
Hongera mkuu kwa kulitendea haki taifa,Tayari nishatoka kumuumiza Lissu.
#JPM mitano yake ipo tayari.View attachment 1614264
Kazi ya makada wa CCM vimekabidhiwa vyombo vya ulinzi na usalama, wao wahangaike nini?Niko kituoni na washirika wenzangu muda sasa. Kimya kimya lakini hamasa kubwa moyoni.
Iziraeli atupishilie mbali.
Tunataka haki. Inshallah kutokana na haki amani hapa itatamalaki tu.
Sala zetu kote haki na ikatendeke tukiwakumbuka wale wote waliotutangulia kwa kusimama na haki.
Nimekuwa naangalia nyuzi mbali mbali tangia jana, hata huko kwenye mitandao mingine ambako bila VPN ni kweusi. Ma lb7, mataga na mshabiki nguli wa chama mboga mboga wote wamepotea.
Au labda hawataki kutumia VPN kuitikia mapenzi ya chama chetu? Au nao ni mshabiki wa hii mitandao kupotea ikibidi moja kwa moja?
Eeh mola wetu mshindi na akatangazwe mshindi.
Amani na ikawe na kila mpenda haki.
Tunayo siku ndefu leo inshallah.
Hiki ndicho kinachokwenda kutokea, Amiri Jeshi wetu Mkuu aliitangazia dunia, uchaguzi utakuwa huru na wa haki, amani itatawala, na mshindi ndiye atatangazwa mshindi!.
Hatuutaki ule uhuni wa watu fulani zile chaguzi za nyuma, mtu aliyeshindwa anajitangaza alishinda kura zake zikaibiwa!.
Safari hii ni anayashindwa akubali kushindwa na kumpongeza mshindi.
P
Hilo la ushoga manalolazimisha kwa Lissu mbona limesha expire tayariWatanzania Twendeni tukamsulubu huyu msaliti wa Nchi kutoka ubeligiji
Kataa ushoga kwa vitendo
Kwa hiyo wewe unataka uendelee kuliwa matako?Kila siku ushoga ushoga, kwani wewe unaliwa hivyo umechoka?
Hilo la ushoga manalolazimisha kwa Lissu mbona limesha expire tayari
Watanzania wasikuhizi sio wajinga tena tunaelewa kila kitu hatu danganyikiView attachment 1614280
Wako vituoni kumpigia JPM zile za nyongeza tokea jana?Unadhani CCM wapo mtandaoni kwa sasa? Wapo vituoni kupiga kura. JPM. Arudi.
Kampeni zimeisha comrade. tupo field sasa kuhakikisha JPM anashinda kwa kishindo kelele na porojo za mitandaoni hazina msaada kwa sasa.
Hapana tupo field kuhakikisha wanaccm na watanzania wote wenye mapenzi mema na nchi tunampigia kura nyingi sana Jemedari Magufuli na wagombea wengine kutoka Ccm.Mko field kuhakikisha za wizi zimerasmishwa?