Wako wapi akina Dotto Biteko na Inno Bashungwa?

Wako wapi akina Dotto Biteko na Inno Bashungwa?

The Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
10,959
Reaction score
13,429
1767991192410.png

Tangu wamwagwe, sijawasikia hao machawa hapo juu. Anayejua wako wapi na wanafanya nini atujuze. Kama wako humu wajue, tunafurahia walivyofanyiwa kitu mbaya baada ya kutumika na kutupwa kama ganda la mua. Uchawa na ufunza havilipi.
 
Madaraka na vyeo ni vitu vya kupita kikubwa waishi na watu vizuri, wasiwe na majivuno au majigambo kama vyeo watakufa navyo.
 
Bashungwa ni kujipost tu kila siku mara anachunga ng'ombe,Mara anakula ugali..ni kama kachanganyikiwa vile
Alipobwagwa nilifurahi. Maana, kwenye ndoto zake alilfikiria angeteuliwa waziri mkuu. Hakuna Magu wa kupigia magoti na kuteuliwa. Chawa watupu
 
Hakuna mtu aliwahi kushika nafasi ya uwaziri halafu akawa na njaa,sahau hilo .

Huu ni muda na nafasi nzuri kwao kutekeleza miradi yao binafsi
 
Maswali mengine bwana, watu hawana platform ya kuongea, unataka waongee nini?
 
Hakuna mtu aliwahi kushika nafasi ya uwaziri halafu akawa na njaa,sahau hilo .

Huu ni muda na nafasi nzuri kwao kutekeleza miradi yao binafsi
Kwa bahati miradi yao binafsi huwa inapata mafanikio wakiwa serekalini ambapo hupata nafasi za kuiba ili kuipa backup miradi yao. Wakiwa nje ya madaraka miradi yao binafsi huenda kwa mwendo wa kinyonga ama hata kufa.
 
Back
Top Bottom