Wakina baba/kaka

Wakina baba/kaka

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,349
Siku hizi si ajabu kumkuta mwanaume anapigwa na mke wake/mpenzi wake, kaka zangu mkipigwa na wake zenu/wapenzi wenu mnauwezo wa kuyahadithia nje? Hii ni janga lililoibuka na wanaume wengi wanaumizwa ndani ya nyumba lakini hawana uwezo wa kuyasema nje.
 
Hahahahaa... Bwege hao..!! Mungu mwenyewe alisema mwanamme kichwa cha familia sasa inakuaje anashindwa kumcontrol mwanamke wake..!!! Wanaume acheni kutiana aibu katika jamii
 
We acha kunawake wanamaliza kilo ya dona na maharage, ukiingia ndani anakuwakia umetoka wapi? Ukichelewa kujibu umekula zinga la kibao. Kwa kweli kuna wanaume wananyanyasika sana kwenye ndoa na hawawezi kusema hadharani.
 
Wajinga hao,tuwanyanganye kadi za uanaume,pumbavu mwili mzima hao
 
We acha kunawake wanamaliza kilo ya dona na maharage, ukiingia ndani anakuwakia umetoka wapi? Ukichelewa kujibu umekula zinga la kibao. Kwa kweli kuna wanaume wananyanyasika sana kwenye ndoa na hawawezi kusema hadharani.
Sky Eclat
Wanawake wanaokula dona na maharage watakuwa wa mikoani hao wetu wa Dasalama wanakula chipsi, mayai hawana mambo hayo. Poleni wanaume wa mikoani. Wanaume mabwege na uchwara
 
  • Thanks
Reactions: kui
Serikali ipige marufuku wanawake kuhudhuria madojo ya Martial Arts.
 
Mimi nimeanza kwenda mazoezi ya karate juzi baada ya mke wangu kunipiga vibao vya nguvu kisa eti katukuta tunapiga story vizuri na housegirl huku tunapasiana viganja/makofi na kucheka kwa furahaa na nilishindwa kumdhibiti kabisa mke wangu, nimepata aibu sana kwani niliishia tu kulia kama mtoto mdogo!
 
Ya kunawanaume wakishapigwa wanatafuta story ya kutunga kama wameumia sana kwenda hospitali, watasema wameanguka au wameangukiwa na furniture kama kabati kumbe wamebomolewa vibaya sana.
 
Mimi nimeanza kwenda mazoezi ya karate juzi baada ya mke wangu kunipiga vibao vya nguvu kisa eti katukuta tunapiga story vizuri na housegirl huku tunapasiana viganja/makofi na kucheka kwa furahaa na nilishindwa kumdhibiti kabisa mke wangu, nimepata aibu sana kwani niliishia tu kulia kama mtoto mdogo!
Wifi inaelekea anapiga exercise na yuko fit.
 
Mimi nimeanza kwenda mazoezi ya karate juzi baada ya mke wangu kunipiga vibao vya nguvu kisa eti katukuta tunapiga story vizuri na housegirl huku tunapasiana viganja/makofi na kucheka kwa furahaa na nilishindwa kumdhibiti kabisa mke wangu, nimepata aibu sana kwani niliishia tu kulia kama mtoto mdogo!

Hahahaha
 
Mda mwingine sio kama wanaume wanashindwa kuwapiga hao wanawake....tatizo sheria
Unaijua vizuri kesi ya kumpiga mwanamke?
Hili liwe identified, hatuwezi kuwa na siku ya wanawake na kuna kundi la watu wanaishi kinyonge. Waweke sheria ya kumlinda mwanaume anaeteseka kwenye ndoa. Matatizo tumejijengea kuwa wa anaeonewa ni mwanamke tu.
 
Sasa kama mwanamke amenizidi kipato nitafanyaje sasa? Itabidi nipigwe tu maana hakuna namna nyingine maana siwezi kumkasirisha asije akaniacha nikateseka mie.
Hahahs pole
 
Mimi nimeanza kwenda mazoezi ya karate juzi baada ya mke wangu kunipiga vibao vya nguvu kisa eti katukuta tunapiga story vizuri na housegirl huku tunapasiana viganja/makofi na kucheka kwa furahaa na nilishindwa kumdhibiti kabisa mke wangu, nimepata aibu sana kwani niliishia tu kulia kama mtoto mdogo!
ahahahah!!!! dah!!! nmecheka
 
Back
Top Bottom