johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,765
Kwa mujibu wa taarifa ya habari ya ITV ni kwamba mawakili wa utetezi katika kesi ya ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe wameshinda pingamizi lao ila kwa sababu hawakuonyesha wataathirika vipi hati hizo zikipokelewa Jaji amelitupa pingamizi hilo.
Hata hivyo Jaji amewapongeza mawakili hao kwa umakini waliouonyesha kwani vifungu hivyo vimekuwa vikileta utata mahakamani mara kwa mara.
Source: ITV habari
Hata hivyo Jaji amewapongeza mawakili hao kwa umakini waliouonyesha kwani vifungu hivyo vimekuwa vikileta utata mahakamani mara kwa mara.
Source: ITV habari