PreGE2025 Wakili Peter Madeleka: ACT ikiingia Madarakani, Tutahakikisha kila Askari anamiliki Ghorofa na Land Cruiser

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Wakili Peter Madeleka akizungumza na Wananchi Jimbo laTemeke, amesema ACT Wazalendo Wakiingia madarakani watahakikisha Polisi wanaostaafu wanaondolewa kikokotoo ikiwa ni sababu ya umasikini amesema pia Polisi wakilinda Kura kila Askari atamiliki Ghorofa na gari Land Cruiser


Your browser is not able to display this video.
 
Siasa za tumbo jamaa alikuwa anaonekana jiniazi kumbe wapi
 
Kuna point uliziskia unaona kabisa zilivyo ovyooooo...kila police awe na ghorofa na landcruser, mtoa kauli anajua maana yake kiuchumi na ktk mambo ya ajira za serikali? Ila kuboresha maslahi yao ni jambo sahihi. Ila how? Sio kama ivyo mtoa kauli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…