GE2025 Wakili matata: Wananchi wamesalitiwa na vyama vilivyoshiriki uchaguzi

GE2025 Wakili matata: Wananchi wamesalitiwa na vyama vilivyoshiriki uchaguzi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Magharibi, Wakili Dickson Matata, ameonesha masikitiko yake kwa vyama vya siasa vilivyokubali kushiriki uchaguzi licha ya kuwepo madai ya kukosekana kwa mabadiliko ya msingi katika mfumo wa uchaguzi nchini.

Akizungumza kupitia kipindi cha Maswali na Majibu kinachoendeshwa na mtangazaji Wilberforce Ngoto, Wakili Matata amesema msimamo wa “No Reforms, No Election” ulipaswa kuwa wa vyama vyote vya upinzani ili kulinda masilahi ya wananchi.

Amefafanua kuwa uchaguzi ni tendo takatifu ambapo wananchi huamua kumkabidhi mtu mmoja mamlaka ya kuwawakilisha, hivyo ni lazima uhakikishe haki na usawa. Hata hivyo, amesema vyama vilivyoshiriki vimesaliti msimamo huo, huku CHADEMA ikibaki imara kutoshiriki na kuapa kutumia njia halali kuhakikisha uchaguzi unazuiwa endapo mabadiliko hayatafanyika.
1757682667208.png
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Magharibi, Wakili Dickson Matata, ameonesha masikitiko yake kwa vyama vya siasa vilivyokubali kushiriki uchaguzi licha ya kuwepo madai ya kukosekana kwa mabadiliko ya msingi katika mfumo wa uchaguzi nchini.

Akizungumza kupitia kipindi cha Maswali na Majibu kinachoendeshwa na mtangazaji Wilberforce Ngoto, Wakili Matata amesema msimamo wa “No Reforms, No Election” ulipaswa kuwa wa vyama vyote vya upinzani ili kulinda masilahi ya wananchi.

Amefafanua kuwa uchaguzi ni tendo takatifu ambapo wananchi huamua kumkabidhi mtu mmoja mamlaka ya kuwawakilisha, hivyo ni lazima uhakikishe haki na usawa. Hata hivyo, amesema vyama vilivyoshiriki vimesaliti msimamo huo, huku CHADEMA ikibaki imara kutoshiriki na kuapa kutumia njia halali kuhakikisha uchaguzi unazuiwa endapo mabadiliko hayatafanyika.
Kwani wakati wanaandaa hiyo NRNE waliwashirikisha hao wanaoshiriki uchaguzi.

Kila mtu ashinde mechi zake jamani.

Hyo hoja yake ya mwisho ndio wanayopaswa kuisimamia ya kuhakikisha haki yao wanaipata.

Kila mtu afanye maamuzi yake anayoona yapo sawa.
 
Uzuri kupitia NRNE, wananchi tumefanikiwa kuwagundua mamluki na wapambanaji halisi wa maslahi ya Taifa.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Magharibi, Wakili Dickson Matata, ameonesha masikitiko yake kwa vyama vya siasa vilivyokubali kushiriki uchaguzi licha ya kuwepo madai ya kukosekana kwa mabadiliko ya msingi katika mfumo wa uchaguzi nchini.

Akizungumza kupitia kipindi cha Maswali na Majibu kinachoendeshwa na mtangazaji Wilberforce Ngoto, Wakili Matata amesema msimamo wa “No Reforms, No Election” ulipaswa kuwa wa vyama vyote vya upinzani ili kulinda masilahi ya wananchi.

Amefafanua kuwa uchaguzi ni tendo takatifu ambapo wananchi huamua kumkabidhi mtu mmoja mamlaka ya kuwawakilisha, hivyo ni lazima uhakikishe haki na usawa. Hata hivyo, amesema vyama vilivyoshiriki vimesaliti msimamo huo, huku CHADEMA ikibaki imara kutoshiriki na kuapa kutumia njia halali kuhakikisha uchaguzi unazuiwa endapo mabadiliko hayatafanyika.
Vile sio vyama vya upinzani.. Ni kosa kubwa sana kuvipq hadhi ya chama cha upinzani.. Vile ni miradi ya chama chawala kinapohitaji kupush mambo yake mabovu
 
Back
Top Bottom