Hivi karibuni serikali ilionya watu kujichukulia hatua za kupiga picha za mnato au video katika uharibufu wowote unaofanyika katika miondombinu ya serikali i.e Majengo n.k jambo ambalo lilimtia hatiani mwanafunzi mmoja wa chuo kikuu baada ya kusambaza picha za video na mnato akionyesha uharibifu mkubwa wa nyufa zilizoonekana hivi karibuni katika jengo mojawapo kati ya ya yale mabweni ya Magufuli pale chuo kikukuu na baadae serikali ikatoa ufafanuzi kuwa ile inaitwa 'Expansion joint' na sio uharibifu.
Kama haitoshi na kama waswahili wasemavyo kwamba kamwe sikio la kufa halisikii dawa. leo katika akaunti yake ya Instagram, Wakili maarufu hapa mkoani Arusha na kada wa wa TLP ambaye kwa sasa 'amehamishiwa' CCM amerusha picha inayoonyesha uharibufu mkubwa katika mojawapo ya vituo vya mabasi ya mwendo kasi kitu kinachopelekea mvua kuwanyeshea abiria wanapokuwa wanasubir usafiri.
Kutokana na kosa hilo ka kama ambavyo tulivyoshatangaziwa hapo awali tunategemea atatiwa nguvuni mda si mrefu kwa kosa kusambaza habari za uchochezi....
Kama haitoshi na kama waswahili wasemavyo kwamba kamwe sikio la kufa halisikii dawa. leo katika akaunti yake ya Instagram, Wakili maarufu hapa mkoani Arusha na kada wa wa TLP ambaye kwa sasa 'amehamishiwa' CCM amerusha picha inayoonyesha uharibufu mkubwa katika mojawapo ya vituo vya mabasi ya mwendo kasi kitu kinachopelekea mvua kuwanyeshea abiria wanapokuwa wanasubir usafiri.
Kutokana na kosa hilo ka kama ambavyo tulivyoshatangaziwa hapo awali tunategemea atatiwa nguvuni mda si mrefu kwa kosa kusambaza habari za uchochezi....