Wakili Kisabo alalamikia Magereza kumnyima faragha alipomtembelea Lissu gerezani

Wakili Kisabo alalamikia Magereza kumnyima faragha alipomtembelea Lissu gerezani

Parabolic

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
2,743
Reaction score
2,601
Leo, tarehe 17 Machi 2026, nimemtembelea Tundu Lissu katika Gereza Kuu la Ukonga kwa ajili ya mazungumzo ya kisheria kuhusu mwenendo wa kesi yake.

Hata hivyo, mazungumzo kati yangu na yeye yalifanyika katika mazingira yasiyozingatia faragha inayotakiwa kisheria, kinyume na Kanuni za Usimamizi wa Magereza za mwaka 1968, pamoja na Kanuni za Msingi za Umoja wa Mataifa Kuhusu Wajibu wa Mawakili (UN Basic Principles on the Role of Lawyers) na Kanuni za Umoja wa Mataifa za Viwango vya Chini vya Usimamizi wa Wafungwa (Kanuni za Nelson Mandela) ambazo zinasisitiza kuwa mawasiliano kati ya wakili na mteja yanapaswa kuwa ya faragha.

Suala hili pia ameshalilalamikia mara kadhaa Mahakamani, ikiwemo wakati wa mwenendo wa ukabidhi na wakati wa usikilizwaji wa kesi ya uhaini katika Mahakama Kuu. Tarehe 24 Februari 2025, wakati wa kuahirishwa kwa kesi hiyo, alikumbushia Mahakama kuhusu suala hili, ambapo kiongozi wa Jopo la Majaji watatu wanaosikiliza kesi hiyo, Mhe. Jaji Nduguru, alieleza kuwa Mahakama imepokea hoja hiyo na kuwa hatua zingechukuliwa kupitia majaji wanaotembelea magereza.

Hata hivyo, Mhe. Lissu amesema hadi sasa hajaweza kutembelewa na jaji yeyote, hali inayoendelea kuathiri faragha ya mawasiliano kati yake na mawakili wake. Hivyo, ni muhimu hatua stahiki zichukuliwe ikiwa ni pamoja na majaji husika kumtembelea gerezani.

Paul Kisabo (Wakili)
 
Leo, tarehe 17 Machi 2026, nimemtembelea Tundu Lissu katika Gereza Kuu la Ukonga kwa ajili ya mazungumzo ya kisheria kuhusu mwenendo wa kesi yake.

Hata hivyo, mazungumzo kati yangu na yeye yalifanyika katika mazingira yasiyozingatia faragha inayotakiwa kisheria, kinyume na Kanuni za Usimamizi wa Magereza za mwaka 1968, pamoja na Kanuni za Msingi za Umoja wa Mataifa Kuhusu Wajibu wa Mawakili (UN Basic Principles on the Role of Lawyers) na Kanuni za Umoja wa Mataifa za Viwango vya Chini vya Usimamizi wa Wafungwa (Kanuni za Nelson Mandela) ambazo zinasisitiza kuwa mawasiliano kati ya wakili na mteja yanapaswa kuwa ya faragha.

Suala hili pia ameshalilalamikia mara kadhaa Mahakamani, ikiwemo wakati wa mwenendo wa ukabidhi na wakati wa usikilizwaji wa kesi ya uhaini katika Mahakama Kuu. Tarehe 24 Februari 2025, wakati wa kuahirishwa kwa kesi hiyo, alikumbushia Mahakama kuhusu suala hili, ambapo kiongozi wa Jopo la Majaji watatu wanaosikiliza kesi hiyo, Mhe. Jaji Nduguru, alieleza kuwa Mahakama imepokea hoja hiyo na kuwa hatua zingechukuliwa kupitia majaji wanaotembelea magereza.

Hata hivyo, Mhe. Lissu amesema hadi sasa hajaweza kutembelewa na jaji yeyote, hali inayoendelea kuathiri faragha ya mawasiliano kati yake na mawakili wake. Hivyo, ni muhimu hatua stahiki zichukuliwe ikiwa ni pamoja na majaji husika kumtembelea gerezani.

Paul Kisabo (Wakili)
Mamlaka hazifuati sheria halaf wanataka wananchi wafuate? Aint no such thing
 
Hawa watu bila mashinikizo kamwe hawawezi kufata sheria na taratibu wanajiona wao wako juu ya sheria half wananachi wengine ndio wanafata na hii imepelekea mazoea mabaya sana kwa tabaka la viongozi kujiona wao wako juu ya sheria na hakuna kitu tunaweza kuwafanya hata tupige kelele wapi. Sasa hili linapaswa kukemewa na kila raia mpenda nchi mambo hayawezi kwenda kwa mtindo huu sheria haipaswi kubagua kuwa huyu atendewe hivi yule atendewe vile.
 
Tanzania hamna mahakama labda majengo ya mahakama
 
Leo, tarehe 17 Machi 2026, nimemtembelea Tundu Lissu katika Gereza Kuu la Ukonga kwa ajili ya mazungumzo ya kisheria kuhusu mwenendo wa kesi yake.

Hata hivyo, mazungumzo kati yangu na yeye yalifanyika katika mazingira yasiyozingatia faragha inayotakiwa kisheria, kinyume na Kanuni za Usimamizi wa Magereza za mwaka 1968, pamoja na Kanuni za Msingi za Umoja wa Mataifa Kuhusu Wajibu wa Mawakili (UN Basic Principles on the Role of Lawyers) na Kanuni za Umoja wa Mataifa za Viwango vya Chini vya Usimamizi wa Wafungwa (Kanuni za Nelson Mandela) ambazo zinasisitiza kuwa mawasiliano kati ya wakili na mteja yanapaswa kuwa ya faragha.

Suala hili pia ameshalilalamikia mara kadhaa Mahakamani, ikiwemo wakati wa mwenendo wa ukabidhi na wakati wa usikilizwaji wa kesi ya uhaini katika Mahakama Kuu. Tarehe 24 Februari 2025, wakati wa kuahirishwa kwa kesi hiyo, alikumbushia Mahakama kuhusu suala hili, ambapo kiongozi wa Jopo la Majaji watatu wanaosikiliza kesi hiyo, Mhe. Jaji Nduguru, alieleza kuwa Mahakama imepokea hoja hiyo na kuwa hatua zingechukuliwa kupitia majaji wanaotembelea magereza.

Hata hivyo, Mhe. Lissu amesema hadi sasa hajaweza kutembelewa na jaji yeyote, hali inayoendelea kuathiri faragha ya mawasiliano kati yake na mawakili wake. Hivyo, ni muhimu hatua stahiki zichukuliwe ikiwa ni pamoja na majaji husika kumtembelea gerezani.

Paul Kisabo (Wakili)
ni muhimu sana usalama wa magereza ukapewa kipaumbele na waTanzania wote,
na ni muhimu zaidi maafisa usalama wa magereza kuthibiti mamaluki wa huyo kibaraka korokoroni kujipenyeza na kuharibu utaratibu wa magereza.

mamluki wote wazuiwe ili hatimae waje mitandaoni kutafuta tension useless na public sympathy nonsense.
lazima pawepo adabu nchi hii,
 
  • Thanks
Reactions: UCD
ni muhimu sana usalama wa magereza ukapewa kipaumbele na waTanzania wote,
na ni muhimu zaidi maafisa usalama wa magereza kuthibiti mamaluki wa huyo kibaraka korokoroni kujipenyeza na kuharibu utaratibu wa magereza.

mamluki wote wazuiwe ili hatimae waje mitandaoni kutafuta tension useless na public sympathy nonsense.
lazima pawepo adabu nchi hii,
Kinachogomba hapa,sio fadhila au hisani ya Bwana jela, bali sheria inasemaje.
 
hakuna sheria inayoruhusu mamaluki kama huyo mtafuta kiki kujazana magereza gentleman
Ni kweli mkuu,

Utaratibu upo hivyo kwa watu wote, hata nje ya nchi.

Huwezi ongea na mahabusu au mfungwa bila presence ya afisa magereza.

Hawa wanatafuta Kiki tu.
 
ni muhimu sana usalama wa magereza ukapewa kipaumbele na waTanzania wote,
na ni muhimu zaidi maafisa usalama wa magereza kuthibiti mamaluki wa huyo kibaraka korokoroni kujipenyeza na kuharibu utaratibu wa magereza.

mamluki wote wazuiwe ili hatimae waje mitandaoni kutafuta tension useless na public sympathy nonsense.
lazima pawepo adabu nchi hii,
Qmmk
 
Watanzania tuamke tufanye kitu kusitisha huu uhuni wa serikali.
"kusitisha uhuni wa serikali". Serikali ipi unaizungumzia mkuu 'resi'?

Hakuna serikali, lililopo ni kundi la wahalifu ambao wanatakiwa kuwajibishwa kwa uhalifu wao.

WaTanzania wataifanya kazi hii bila ya shaka yoyote.
 
Ni kweli mkuu,

Utaratibu upo hivyo kwa watu wote, hata nje ya nchi.

Huwezi ongea na mahabusu au mfungwa bila presence ya afisa magereza.

Hawa wanatafuta Kiki tu.

Naona unachanganya.

Pamoja na Lissu kuwa anajitetea mwenyewe lakin ana haki ya kuongea na wanasheria /mawakili.
Na jambo kama hili hufanywa kwa privacy.

Hapo hajatembelewa na jiran au ndugu.
Ni wakili na alikuwa anataka kuongea na Lissu masuala ya kisheria yanayohusu kesi yake.
Ilistahili apewe hiyo privacy.
 
ni muhimu sana usalama wa magereza ukapewa kipaumbele na waTanzania wote,
na ni muhimu zaidi maafisa usalama wa magereza kuthibiti mamaluki wa huyo kibaraka korokoroni kujipenyeza na kuharibu utaratibu wa magereza.

mamluki wote wazuiwe ili hatimae waje mitandaoni kutafuta tension useless na public sympathy nonsense.
lazima pawepo adabu nchi hii,

Unaongea kana kwamba umeyapatia maisha. Kumbe utakuta ww ni dogo mmoja hujui hata kesho yako unakula nn.
Bundle umeweka la mia 5.
Unatumia simu ya mkopo. Kulala kwa ndugu. Huna assets yoyote. Yaan ndio unajitafuta.
 
ni muhimu sana usalama wa magereza ukapewa kipaumbele na waTanzania wote,
na ni muhimu zaidi maafisa usalama wa magereza kuthibiti mamaluki wa huyo kibaraka korokoroni kujipenyeza na kuharibu utaratibu wa magereza.

mamluki wote wazuiwe ili hatimae waje mitandaoni kutafuta tension useless na public sympathy nonsense.
lazima pawepo adabu nchi hii,
Hapa na pale,
 
ni muhimu sana usalama wa magereza ukapewa kipaumbele na waTanzania wote,
na ni muhimu zaidi maafisa usalama wa magereza kuthibiti mamaluki wa huyo kibaraka korokoroni kujipenyeza na kuharibu utaratibu wa magereza.

mamluki wote wazuiwe ili hatimae waje mitandaoni kutafuta tension useless na public sympathy nonsense.
lazima pawepo adabu nchi hii,
UCD ASSHOLE
 
ni muhimu sana usalama wa magereza ukapewa kipaumbele na waTanzania wote,
na ni muhimu zaidi maafisa usalama wa magereza kuthibiti mamaluki wa huyo kibaraka korokoroni kujipenyeza na kuharibu utaratibu wa magereza.

mamluki wote wazuiwe ili hatimae waje mitandaoni kutafuta tension useless na public sympathy nonsense.
lazima pawepo adabu nchi hii,
Ona hili shetani punguani Tlaaltlaah lisivyojitambua!! Wenzake wanaongelea ulinzi wa sheria, lenyewe linabwabwaja,mambo yasiyoeleweka.
 
Back
Top Bottom