Wakili Boniface Mwabukusi hatofautishi mahakama na mkutano wa hadhara wa siasa

comte

JF-Expert Member
Dec 11, 2011
8,227
5,950
Majaji Ndunguru: naomba kabla sijatamka tarehe ya maamuzi; kwa niaba ya majaji wenzangu nawashukuru sana Mawakili pande mbili.

Jaji: Kwa kile mlichokionyesha, sisi tumeona the highest level of professionalism namshukuru sana.

Jaji: Naomba pia kipekee nimshukuru wakili Boniphace Mwabhukusi kwa kucheza vizuri sana akiwa ndani ya mahakama na akiwa ulingo wa siasa huko nje. Mwabukusi ameitendea haki taaluma yake.

Baada ya kusema hayo niseme kwamba mahakama hii itatoa hukumu yake siku ya tarehe 7 August 2023 siku ya jumatatu.
 
Hivi ni mavi nini?? Unadhani kila mru ni mchumia tumbo? Hata akigombea wewe inakuuma nini si ni bora kuwa na wabunge vision kuliko mazezeta madalali wa mali zauma
 
Mbona kichwa cha habari na ulichokinukuu kwa Majaji ni vitu viwili tofauti.
Ulikuwa hufahamu tatizo la Watanzania? Bofya chini hapo:

 
Siasa, Uandishi wa Habari na Sheria vinaenda pamoja ndio sababu Pascal Mayalla amebalance equation 😀

Mafarisayo, Waandishi na Wanasheria walimzonga zonga na Kumtega Yesu Kristo!
 
Siasa, Uandishi wa Habari na Sheria vinaenda pamoja ndio sababu Pascal Mayalla amebalance equation

Mafarisayo, Waandishi na Wanasheria walimzonga zonga na Kumtega Yesu Kristo!
Mayalla siasa haimpendi, usimsingizie, muulize akwambie kilichompata Kawe alivyoijaribu hiyo siasa..

Labda kwenye uchawa kidogo ndio anaenea kwa mbaaali..
 
Mkuu, punguza mahaba , mbona kiko wazi
Umeandika

Wakili Boniface Mwabukusi hatofautishi mahakama na mkutano wa hadhara wa siasa.​

Maana yake: anachoongea huyu wakili mahakamani na katika mkutano wa kisiasa ni sawa, yaani hakina mpangilio wa kitaaluma.

JAJI
Naomba pia kipekee nimshukuru wakili Boniphace Mwabhukusi kwa kucheza vizuri sana akiwa ndani ya mahakama na akiwa ulingo wa siasa huko nje. Mwabukusi ameitendea haki taaluma yake.


Maana yake : Jaji ameona huyu Mwabukusi ameonyesha taaluma yake mahakamani.


Sasa mtoa mada hivyo ni vitu viwili tofauti ulivyoandika mwenyewe, kipi ni kipi.
Statement ya Kwanza ambayo inaonyesha utapiamlo wa kitaaluma kwa huyu wakili, AU sifa alizopewa na Jaji kuwa kaitendea haki taaluma?

 
Ulikuwa hufahamu tatizo la Watanzania? Bofya chini hapo:

Kaanze kwa kufundisha chekechea!
 
Mayalla siasa haimpendi, usimsingizie, muulize akwambie kilichompata Kawe alivyoijaribu hiyo siasa..

Labda kwenye uchawa kidogo ndio anaenea kwa mbaaali..
Nimuulize nini wakati mimi ni mjumbe wa Kawe na ile kura Moja aliyopata nilimpigia mimi

Mayalla peke yake ndiye mgombea ambaye hakutoa Rushwa na mimi peke yangu ndiye Mjumbe ambaye Sikupokea Rushwa!
 
Ulikuwa hufahamu tatizo la Watanzania? Bofya chini hapo:

 
Back
Top Bottom