Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,597
- 46,238
Ndugu zetu Wakenya mnapoenda kwenye uchaguzi mwaka 2022 chagueni mtu mwenye maono makubwa ya mbele sio mzee mfahidhina anayewakilisha mawazo butu ya Africa ya kale.
Raila Odinga ni mzee aliyeachwa na wakati, amechoka akili, hana jambo jipya la kuifanya Kenya isonge mbele, alikiwa vizuri katika ujana wake ila uzeeni amekuwa ni mtu anayehusudu sana na watawala wakandamizaji wa Raia, hili sio jambo zuri akiwa Rais wenu .
William Samoei Ruto ni mtu anayefaa kuwa Rais wenu mwaka 2022. Pamoja na tuhuma nyingi alizo nazo Makamu wenu wa Rais kama walizo nazo mabwanyeye wote wa Kenya akiwemo Rais wenu wa sasa na Raila, Ruto bado anaoenekana ni mtu anayependa utawala wa demokrasia na sheria, ugatuzi wa madaraka, uhuru mkubwa kwa raia na teknolojia za kisasa.
Mpeni Ruto nafasi ya kuwaongoza, sera zake ndizo zinaifaa Kenya ya sasa yenye Katiba mlya, Sera za Raila ziliifaa Kenya iliyokuwa na katiba chakavu, "Baba" amaeachwa na wakati.
Raila Odinga ni mzee aliyeachwa na wakati, amechoka akili, hana jambo jipya la kuifanya Kenya isonge mbele, alikiwa vizuri katika ujana wake ila uzeeni amekuwa ni mtu anayehusudu sana na watawala wakandamizaji wa Raia, hili sio jambo zuri akiwa Rais wenu .
William Samoei Ruto ni mtu anayefaa kuwa Rais wenu mwaka 2022. Pamoja na tuhuma nyingi alizo nazo Makamu wenu wa Rais kama walizo nazo mabwanyeye wote wa Kenya akiwemo Rais wenu wa sasa na Raila, Ruto bado anaoenekana ni mtu anayependa utawala wa demokrasia na sheria, ugatuzi wa madaraka, uhuru mkubwa kwa raia na teknolojia za kisasa.
Mpeni Ruto nafasi ya kuwaongoza, sera zake ndizo zinaifaa Kenya ya sasa yenye Katiba mlya, Sera za Raila ziliifaa Kenya iliyokuwa na katiba chakavu, "Baba" amaeachwa na wakati.