na muendelee kujifunza mengine pia.Hehehe!! Hizi nyuzi za ramli chonganshi, yaani mtajaza server za watu..
Watanzania wameanza kushangaa wiki tatu hawajatumbuliwa...hehehe
Sema kwa Wakenya tuna cha kujifunza kutoka kwa Watz likija suala la utulivu, najaribu kuwaza ingekua kwetu hapa, yaani vyombo vya habari wangekua wametia kambi ikulu kabisa na mahema yao huko..... na wengine wangekua wananyatia nyatia kwenye kila hospitali
Wiki ya tatu mfululizo, nchi yetu haijashuhudia tumbua tumbua wala teuzi mpya!
Tabia hujenga mazoea. Imekuwa ni mazoea katika serikali hii ya awamu ya tano, chini ya Rais wetu Magufuli, kutopita wiki moja, bila kuona PRESS RELEASE ya Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Gershon Msigwa, akituhabarisha watanzania kuhusu tumbua tumbua ya wateule wa Rais na ingizo "jipya" la...www.jamiiforums.com
Kweli huwa nawaonaga ktk tv stationz wakisema mbimbiaii kumbe wale ndio waluo eh ???That's why the Luo people pronounce it "MBBI" rather than "BBI" Wakenya mnavituko Sana.
na muendelee kujifunza mengine pia.
watz sio watu na nongwa kwa kila jambo,hawafiki bei kizembe wala kushawishika kipuuzi.
ndio asili ya rais wetu.ndio maana hatetereki kwenye maamuzi yake.
kuna tofauti ya kuwa zezeta na kuwa mtulivu.Kumfundisha Mkenya akubali kujishusha mpaka awe kama zezeta fulani hivi ni mtihani, yaani tu basi.
kuna tofauti ya kuwa zezeta na kuwa mtulivu.
kama anavyowafanya uhuru wakenya.Zezeta huwa lipo lipo tu, halijui upepo unavuma wapi ukielekea wapi, halijui haki zake na hushukuru na kusifia kila kitu hata wakati linabakwa.....hehehe
kama anavyowafanya uhuru wakenya.
wamekuwa kama vichaa.
mmeshindwa kumtoa kwa njia halali mje mjitie ujuaji asipoonekana!!!Mwambie huyo Uhuru atoweke hata siku tatu hajulikani alipo ndio atakoma ubishi, kwetu huku tunatambua urais ni taasisi sio mali ya mtu binafsi. Yakimshinda anaachia fasta tu wapo wengine wenye uwezo huo, sio ang'ang'anie hadi hata ikisemwa amelazwa bado anashikilia haachi.
Sa mkitukana mnapata nini? Aafu matusi ya kiingereza wala hayaumi. Mbaya zaidi hata Kiswahili hamjui. Shida ya Wakenya ni ujuaji.Wakenya si waoga kama nyinyi, we say as it is, saii tuko twitter tunatukana serikali ya jubilee
mmeshindwa kumtoa kwa njia halali mje mjitie ujuaji asipoonekana!!!
waacheni wenye nchi yao hapo kenya watawale,wengine endeleeni na kelele.