Wakenya na program yao ya chuchilshow.

Wakenya na program yao ya chuchilshow.

Inaonesha ata chuchill yenyewe huijui prof hamo ni among comedians mwenyewe kabisa ni churchill.
 
Saw
Ni churchil show.

Kiongozi ni Churchil mwenyewe!!! prof. Hamo ni among partcipants kama walivyokua kina Eric Omondi na wengine.

Bongo stand up comedy bado haijastawi, labda miaka mingi ijayo!!!!
Sawa..
 
Hawa majirani zetu kenya huwa wana present kipindi chao kwa wingi na pamoja kina itwa chuchilshow.Kipindi hiki huwa kinaongozwa na jamaa anajiita prof Hamo.

Ukitazama kipindi hiki kinaonesha wakenya ni jinsi gani wana kaa pamoja na kufurahi na kutoa stress kwa pamoja.
Huwa wanakuwepo na wageni wao kutoka mataifa mbalimbali na wenyewe wakishiriki kwapamoja wakipeana somo.

Sasa tuje hapa kwetu bongo hivi kuna program gani ambayo inaongozwa hapa kwa pamoja na kukaa tukamsikiliza mtu moja moja zaidi ya kuwa na mijadala mingi isio kuwa na faida kwetu na shida tuu.

Kenya walishawahi kumwaga damu mwaka 2003 juzi tuu hapo lakini bado wana bloodspirtial love for each other wana thubutu kukaa pamoja na kupiga story.

Sasa hapa bongo kuna kipindigani kisischo bagua ambacho mtu anaweza kujifunza mfano chuchilshow bila udini wala ukabila.


TATIZO LETU UJUAWAJI MWINGI USIO NA FAIDA.SISI TUKO BIZE NA SIASA MPAKA MTU ASIE NA SHULE HATA MOJA NAE ANAIJUA SIASA KULIKO HATA MSOMI,BLAABLAA KILA SEHEM VIJIWE VINGI KILA KONA.
WENZETU KENYA NDIO WALEE BYEBYE.

NAWASILISHA
kinaongozwa na nani?
 
Kipo chaneli gani nikiwinde.
Bongo hakuna stand up comedy, ila makelele kibao
 
Hawa majirani zetu kenya huwa wana present kipindi chao kwa wingi na pamoja kina itwa chuchilshow.Kipindi hiki huwa kinaongozwa na jamaa anajiita prof Hamo.

Ukitazama kipindi hiki kinaonesha wakenya ni jinsi gani wana kaa pamoja na kufurahi na kutoa stress kwa pamoja.
Huwa wanakuwepo na wageni wao kutoka mataifa mbalimbali na wenyewe wakishiriki kwapamoja wakipeana somo.

Sasa tuje hapa kwetu bongo hivi kuna program gani ambayo inaongozwa hapa kwa pamoja na kukaa tukamsikiliza mtu moja moja zaidi ya kuwa na mijadala mingi isio kuwa na faida kwetu na shida tuu.

Kenya walishawahi kumwaga damu mwaka 2003 juzi tuu hapo lakini bado wana bloodspirtial love for each other wana thubutu kukaa pamoja na kupiga story.

Sasa hapa bongo kuna kipindigani kisischo bagua ambacho mtu anaweza kujifunza mfano chuchilshow bila udini wala ukabila.


TATIZO LETU UJUAWAJI MWINGI USIO NA FAIDA.SISI TUKO BIZE NA SIASA MPAKA MTU ASIE NA SHULE HATA MOJA NAE ANAIJUA SIASA KULIKO HATA MSOMI,BLAABLAA KILA SEHEM VIJIWE VINGI KILA KONA.
WENZETU KENYA NDIO WALEE BYEBYE.

NAWASILISHA
Fanya utafiti wa kutosha kabla hujaamdika kitunchochote chenye reference. Bandiko lako linaku expose kuwa hukifahamu vozuri hicho kipindi na pengine umeona leo kwa mara ya kwanza.
Hiyo ni show ya stand up comedy inayofanywa chini ya uongozi wa churchil ambae nae ni comedian. Kipindi hicho kinaendeshwa kwa kuhusisha commedians mbali mbali ambao hulipwa na churchil. Show hufanywa kwa kiingilio kama zinavyofanyika show za stand up comedy hapa bongo na kina mc pili pili nk. Sasa hapa tusiongelee wamefanikiwa au kutofanikiwa kiasi gani kwa kuwa siyo hoja ya msingi. Kikubwa unachotakiwa kukijua ni kuwa hata hapa bongo hizo show zinafanyika. Na kumbuka kuwa watu wanaweza kukutana na kufurahi kwa pamoja kwa namna mbali mbali, si kupitia stand up comedy peke yake. Kuna matukio kama harusi, bar, disco, matamasha ya muziki etc....
N8meliangalia bandiko lake, msingi wake kwa kiasi kikubwa ni inferiority complex tuliyonayo wabongo wengi dhidi ya wakenya, na tabia ya kuwatukuza wakenya kuliko wanavyostahili.
 
Fanya utafiti wa kutosha kabla hujaamdika kitunchochote chenye reference. Bandiko lako linaku expose kuwa hukifahamu vozuri hicho kipindi na pengine umeona leo kwa mara ya kwanza.
Hiyo ni show ya stand up comedy inayofanywa chini ya uongozi wa churchil ambae nae ni comedian. Kipindi hicho kinaendeshwa kwa kuhusisha commedians mbali mbali ambao hulipwa na churchil. Show hufanywa kwa kiingilio kama zinavyofanyika show za stand up comedy hapa bongo na kina mc pili pili nk. Sasa hapa tusiongelee wamefanikiwa au kutofanikiwa kiasi gani kwa kuwa siyo hoja ya msingi. Kikubwa unachotakiwa kukijua ni kuwa hata hapa bongo hizo show zinafanyika. Na kumbuka kuwa watu wanaweza kukutana na kufurahi kwa pamoja kwa namna mbali mbali, si kupitia stand up comedy peke yake. Kuna matukio kama harusi, bar, disco, matamasha ya muziki etc....
N8meliangalia bandiko lake, msingi wake kwa kiasi kikubwa ni inferiority complex tuliyonayo wabongo wengi dhidi ya wakenya, na tabia ya kuwatukuza wakenya kuliko wanavyostahili.
Ki msingi ni jinsi ustaarabu na kucheka kwa nyuso za furaha je hapa kwetu vipi.
Unataka kusema huko hakuna bar harusi na vingine Vingi.??
Acha nyege
 
Stess haziondolewi kwa burudani au starehe. Tena ukienda kwenye starehe ukirudi ndio zinazidi. Dawa ya stress ni kutafuta pesa na kwa kuwa tupo kwenye karne ya hapa kazi basi jinsi tunavyopata pesa ndio stress zinaondoka zenyewe. Wao sasa wanatembea sisi inabidi tupae wametuacha mbali hatuna muda wa kustarehe ni kufanya kazi usiku na mchana
 
Hawa majirani zetu kenya huwa wana present kipindi chao kwa wingi na pamoja kina itwa chuchilshow.Kipindi hiki huwa kinaongozwa na jamaa anajiita prof Hamo.

Ukitazama kipindi hiki kinaonesha wakenya ni jinsi gani wana kaa pamoja na kufurahi na kutoa stress kwa pamoja.
Huwa wanakuwepo na wageni wao kutoka mataifa mbalimbali na wenyewe wakishiriki kwapamoja wakipeana somo.

Sasa tuje hapa kwetu bongo hivi kuna program gani ambayo inaongozwa hapa kwa pamoja na kukaa tukamsikiliza mtu moja moja zaidi ya kuwa na mijadala mingi isio kuwa na faida kwetu na shida tuu.

Kenya walishawahi kumwaga damu mwaka 2003 juzi tuu hapo lakini bado wana bloodspirtial love for each other wana thubutu kukaa pamoja na kupiga story.

Sasa hapa bongo kuna kipindigani kisischo bagua ambacho mtu anaweza kujifunza mfano chuchilshow bila udini wala ukabila.


TATIZO LETU UJUAWAJI MWINGI USIO NA FAIDA.SISI TUKO BIZE NA SIASA MPAKA MTU ASIE NA SHULE HATA MOJA NAE ANAIJUA SIASA KULIKO HATA MSOMI,BLAABLAA KILA SEHEM VIJIWE VINGI KILA KONA.
WENZETU KENYA NDIO WALEE BYEBYE.

NAWASILISHA

Hapo kwenye colour nyekundu umeongopea,,,,,,,,,ni mwaka 2007/2008 mkuu.
 
Kabla sijasoma story yako, kipindi kinaitwa "CHURCHILL SHOW" na sio "CHUCHIL SHOW".
Haya ngoja niendelee...
 
Wako nyuma sana sisi kwenye vijiwe vya kahawa watu wanahoja za msingi Na majadiliano yanaenda kwa nukta pasipo ugomvi.nasema wako nyuma sanaaaa ukija mijadala ya burudani simba vs yanga haaaàaaa
 
Back
Top Bottom