Wakenya na program yao ya chuchilshow.

Wakenya na program yao ya chuchilshow.

Fanya utafiti wa kutosha kabla hujaamdika kitunchochote chenye reference. Bandiko lako linaku expose kuwa hukifahamu vozuri hicho kipindi na pengine umeona leo kwa mara ya kwanza.
Hiyo ni show ya stand up comedy inayofanywa chini ya uongozi wa churchil ambae nae ni comedian. Kipindi hicho kinaendeshwa kwa kuhusisha commedians mbali mbali ambao hulipwa na churchil. Show hufanywa kwa kiingilio kama zinavyofanyika show za stand up comedy hapa bongo na kina mc pili pili nk. Sasa hapa tusiongelee wamefanikiwa au kutofanikiwa kiasi gani kwa kuwa siyo hoja ya msingi. Kikubwa unachotakiwa kukijua ni kuwa hata hapa bongo hizo show zinafanyika. Na kumbuka kuwa watu wanaweza kukutana na kufurahi kwa pamoja kwa namna mbali mbali, si kupitia stand up comedy peke yake. Kuna matukio kama harusi, bar, disco, matamasha ya muziki etc....
N8meliangalia bandiko lake, msingi wake kwa kiasi kikubwa ni inferiority complex tuliyonayo wabongo wengi dhidi ya wakenya, na tabia ya kuwatukuza wakenya kuliko wanavyostahili.
Ila kwa kulinganisha comedian wetu bado hawajafika viwango vya wakenya, wenzetu wapo mbali sana
 
we
Wewe mleta mada ni kilaza sana inaonekana[/QUOT
Usitake kujua mleta mada yukoje
wewe angalia kil kinacho kufaa ndicho uchukue.Usimrahissishie adui yako nakusome kama ulivyo.Nisawa demu anaenda kuliwa tigo kisha anaenda kuwasimulia wanaume vijiweni ulivyo liwa
 
Ni kipindi kizuri na kinavutia, huwa napenda sana kumuona mamito
 
Back
Top Bottom