Wakenya na program yao ya chuchilshow.

Wakenya na program yao ya chuchilshow.

baba Moses

Senior Member
Joined
Dec 7, 2017
Posts
100
Reaction score
80
Hawa majirani zetu kenya huwa wana present kipindi chao kwa wingi na pamoja kina itwa chuchilshow.Kipindi hiki huwa kinaongozwa na jamaa anajiita prof Hamo.

Ukitazama kipindi hiki kinaonesha wakenya ni jinsi gani wana kaa pamoja na kufurahi na kutoa stress kwa pamoja.
Huwa wanakuwepo na wageni wao kutoka mataifa mbalimbali na wenyewe wakishiriki kwapamoja wakipeana somo.

Sasa tuje hapa kwetu bongo hivi kuna program gani ambayo inaongozwa hapa kwa pamoja na kukaa tukamsikiliza mtu moja moja zaidi ya kuwa na mijadala mingi isio kuwa na faida kwetu na shida tuu.

Kenya walishawahi kumwaga damu mwaka 2003 juzi tuu hapo lakini bado wana bloodspirtial love for each other wana thubutu kukaa pamoja na kupiga story.

Sasa hapa bongo kuna kipindigani kisischo bagua ambacho mtu anaweza kujifunza mfano chuchilshow bila udini wala ukabila.


TATIZO LETU UJUAWAJI MWINGI USIO NA FAIDA.SISI TUKO BIZE NA SIASA MPAKA MTU ASIE NA SHULE HATA MOJA NAE ANAIJUA SIASA KULIKO HATA MSOMI,BLAABLAA KILA SEHEM VIJIWE VINGI KILA KONA.
WENZETU KENYA NDIO WALEE BYEBYE.

NAWASILISHA
 
Mh hapa sidhani kama utapata wachangiaji, tatizo wengi ndio hao wazee wa bla bla
 
Tanzania nchi nyepesi sana hii. Ukishindwa kutusua Bongo huwezi kutusua popote pale.

Kila mtu ni mchambuzi wa siasa, michezo, uchumi na kila kitu.
 
Mkuu hicho kpnd huwa kinaendeshwa na Brother mmoja hivi inaitwa 'Churchill' na ndyo maana kpnd kinaitwa Churchill show,mm ni miongoni mwa wapenzi wa kind hicho,huwa napenda sana kukiangalia kupitia You tube!
 
Utasikia siasa haikwepeki. Utadhani ni bomu la Nyuklia
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Kuna chengine chaitwa XYZ cha bwana gado.kiko youtube skuizi.kiko vizuri

 
Hicho ndio kipindi kinachoniondolea stress kwa sasa, huyo prof hamo sio mwenye kipindi naye ni stand up comedian, tuwasubili wafia Tz nao watakavyokishindanisha na futuhi.
 
mkuu Hammo ni muajiriwa tu ....ladiea and gentlemen....the one and only CHURCHILL


Huwa nakipenda sana sanaa kuna jamaa anaitwa pastor kuria ni funiko ubaya kila anayepanda anachekesha kwa kikwao ....bt ni show nzuri sana


Bakhresa kajitahidi na wasakabtonge comedy ligala bt naona respond sio nzuri sana.


hata hapa nyumbani tunao tatizo sio hobby ya wabongo wengi.


kina mpoki na joti na zembwela walifanya comedy kuonekana kitu cha kijinnga kuvaa matambara tambara
 
Ndugu Prof Hamo ni mwajiliwa tu na mwenye hiko kipindi ni Daniel "Churchill" Ndambuki huyu ndio Owner na Founder wa Kipindi hiki cha Churchill Show
 
Halafu tambua kuwa ile ni just show off, wakenya wa makabila tofauti hutowakuta kamwe wakeaa vile wanacheka pamoja.. Wanafki sana hao watu
 
Back
Top Bottom