Would you mind explaining what you are talking about?
Si angeweka na ushahidi basi badala ya kubwabwaja. Kwani nyimbo zake zina views ngapi?lady ndio maana hujaelewa,simple alichoongea kinatatanisha.agrey manri si artist ni regianl commisioner wa tabora huku tz,ila ana trend youtube kuliko msanii wenu mnayemuamini.
Halafu mlisemaga mna internet users wengi kutuzidi,sasa sijajua mpaka sasa nini kinasababisha tuna wazidi vitu simple kama hivi,usijesema agrey anaangaliwa zaidi kenya na humjui
Umbea mkuu ynafanya mtu ashindilie kitu kimoja ama topic moja. Anajua umeclick hiyo video zaidi ya Mara mia moja hawa sasa kuna uzi huu just to drive a point home.lady ndio maana hujaelewa,simple alichoongea kinatatanisha.agrey manri si artist ni regianl commisioner wa tabora huku tz,ila ana trend youtube kuliko msanii wenu mnayemuamini.
Halafu mlisemaga mna internet users wengi kutuzidi,sasa sijajua mpaka sasa nini kinasababisha tuna wazidi vitu simple kama hivi,usijesema agrey anaangaliwa zaidi kenya na humjui
Umbea mkuu ynafanya mtu ashindilie kitu kimoja ama topic moja. Anajua umeclick hiyo video zaidi ya Mara mia moja hawa sasa kuna uzi huu just to drive a point home.
Si angeweka na ushahidi basi badala ya kubwabwaja. Kwani nyimbo zake zina views ngapi?
Mnapenda ligi sana nyie watu.kumbe ni takataka mnalinganisha na views za nyimbo.Hana nyimbo ni mazungumzo tu akiwa kazini.
Mnapenda ligi sana nyie watu.kumbe ni takataka mnalinganisha na views za nyimbo.
Views ngapi? Mbona hamsemi?sasa speech inazid views nyimbo,ni nini hicho kama si uchawi wa kitz
Views ngapi? Mbona hamsemi?
Sasa artists wa Kenya wana lalamika kuwa wabongo wanalipwa vizuri kuliko wao, jibu ni rahisi wana misingi imara ya mziki na wanazalisha mziki mzuri, sasa walivyo wanafiki kwanini hawalalamiki wakongo,wanaija, wamalekani na wajamaica wakitumbuiza nchi yao? Wakubali tuu bongofleva is ahead of theirs, waache chuki binafsi, why bongofleva and not other countries?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatujasema nyimbo za bongo zisichezwe, tumesema za Kenya zipewe priority. Za bongo bado zitachezwa na Wabongo bado watapiga show Kenya.
Sawa kama nyinyi wasanii wenu ni wavivu kwanini wabongo wasije kutajirikia kwenuWamelalamikia hao wote ila walioumia zaidi ni Wabongo. Wanaijeria hata wametusupport wakasema nchi lazima ikuze mziki wao. Wenye machungu tu ni wabongo - sijui ni kwa vile top musicians wa Bongo wamejengeka Kenya ama ni ile inferiority complex yao ya kawaida. Lakini nadhani pia hilo la soko muhimu linachangia maanake wasanii Wabongo hutengeneza hela nyingi Kenya kuliko bongo. Bila Kenya bongo hakuna msanii atajengeka.
Hii ndo nyimbo bora ya Kenya kwa mwaka 2018.
Hatujasema nyimbo za bongo zisichezwe, tumesema za Kenya zipewe priority. Za bongo bado zitachezwa na Wabongo bado watapiga show Kenya.
Sasa huendi mbinguni ina shida gani?? Umesikia kinachoimbwa humo ndani??Kwa kipi tunachoimba Tz eti nyimbo uendi mbiguni,jini kisirani sasa ndo nn hata bongo mziki wetu bado tumshukuru diamond...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona wasitajirikie Tanzania? Jiulize hilo pia.Sawa kama nyinyi wasanii wenu ni wavivu kwanini wabongo wasije kutajirikia kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu nenda YouTube na usearch Free by Nyashinski.Sasa nyimbo zenyewe ni gani,hizi lamba lolo♂️♂️
Ebu nenda YouTube na usearch Free by Nyashinski.
Kama inachezwa mbona usiitoe kama mfano unatoa Ile ngoma iliyodharauliwa?Free inapigwa hata tz,nawewe umeijulia wapi kama haipewi kipaumbele hapo kenya??