waKenya mnavyowaambia wabongo hawasikilizi nyimbo zenu huwa mnashirikisha ubongo wenu

Would you mind explaining what you are talking about?

lady ndio maana hujaelewa,simple alichoongea kinatatanisha.agrey manri si artist ni regianl commisioner wa tabora huku tz,ila ana trend youtube kuliko msanii wenu mnayemuamini.

Halafu mlisemaga mna internet users wengi kutuzidi,sasa sijajua mpaka sasa nini kinasababisha tuna wazidi vitu simple kama hivi,usijesema agrey anaangaliwa zaidi kenya na humjui
 
lady ndio maana hujaelewa,simple alichoongea kinatatanisha.agrey manri si artist ni regianl commisioner wa tabora huku tz,ila ana trend youtube kuliko msanii wenu mnayemuamini.

Halafu mlisemaga mna internet users wengi kutuzidi,sasa sijajua mpaka sasa nini kinasababisha tuna wazidi vitu simple kama hivi,usijesema agrey anaangaliwa zaidi kenya na humjui
Si angeweka na ushahidi basi badala ya kubwabwaja. Kwani nyimbo zake zina views ngapi?
 
lady ndio maana hujaelewa,simple alichoongea kinatatanisha.agrey manri si artist ni regianl commisioner wa tabora huku tz,ila ana trend youtube kuliko msanii wenu mnayemuamini.

Halafu mlisemaga mna internet users wengi kutuzidi,sasa sijajua mpaka sasa nini kinasababisha tuna wazidi vitu simple kama hivi,usijesema agrey anaangaliwa zaidi kenya na humjui
Umbea mkuu ynafanya mtu ashindilie kitu kimoja ama topic moja. Anajua umeclick hiyo video zaidi ya Mara mia moja hawa sasa kuna uzi huu just to drive a point home.
 
Sasa artists wa Kenya wana lalamika kuwa wabongo wanalipwa vizuri kuliko wao, jibu ni rahisi wana misingi imara ya mziki na wanazalisha mziki mzuri, sasa walivyo wanafiki kwanini hawalalamiki wakongo,wanaija, wamalekani na wajamaica wakitumbuiza nchi yao? Wakubali tuu bongofleva is ahead of theirs, waache chuki binafsi, why bongofleva and not other countries?

Sent using Jamii Forums mobile app

Wamelalamikia hao wote ila walioumia zaidi ni Wabongo. Wanaijeria hata wametusupport wakasema nchi lazima ikuze mziki wao. Wenye machungu tu ni wabongo - sijui ni kwa vile top musicians wa Bongo wamejengeka Kenya ama ni ile inferiority complex yao ya kawaida. Lakini nadhani pia hilo la soko muhimu linachangia maanake wasanii Wabongo hutengeneza hela nyingi Kenya kuliko bongo. Bila Kenya bongo hakuna msanii atajengeka.
 
Wamelalamikia hao wote ila walioumia zaidi ni Wabongo. Wanaijeria hata wametusupport wakasema nchi lazima ikuze mziki wao. Wenye machungu tu ni wabongo - sijui ni kwa vile top musicians wa Bongo wamejengeka Kenya ama ni ile inferiority complex yao ya kawaida. Lakini nadhani pia hilo la soko muhimu linachangia maanake wasanii Wabongo hutengeneza hela nyingi Kenya kuliko bongo. Bila Kenya bongo hakuna msanii atajengeka.
Sawa kama nyinyi wasanii wenu ni wavivu kwanini wabongo wasije kutajirikia kwenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom