rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Wakuu niombe radhi kwa kuleta hii mada muda huu ambao tupo kwenye dimbwi la mawazo juu ya mustakabadhi wa taifa letu!
nimeamua kuleta hii kwa sababu leo ni weekend ebu tukae tuongee kuhusu maisha yetu ya kawaida huku tukijipumzisha kwa mawazo yanayotupa tabu kweli kweli?
nimepanga nyumba kubwa ya vyumba vinne, sina familiya naishi peke yangu, nikaamua kupata mtu wa kushare naye, mimi nikachukua sitting room na master bedroom, akaja mtu mmoja ninayemjua akaniletea dada wa kikenya, kwanza nilishtuka halafu moyoni nikasema hii hapana siwezi kuishi na mkenya hata kidogo, baada ya yule dada kuleta story nyingi sana jinsi alivyo smart na msomi na amekaa sana ulaya na sehemu mbalimbali hapa tanzania nikajikuta namkubalia kuishi na mimi
sasa huu ni mwezi wa pili tangu tumeanza kuishi,kwa kweli dada anakera mno,yaani wakuu dada zetu watanzania ni watu wazzuri sana ndio sasa naanza kujionea,kuna kitu ametuonyesha live""eti mbona watanzania hawajui mambo mengi" "utasemaje maneno kama hayo mbele ya wenye nchi yao!!kwa ujumla kwa jinsi tunavyoishi ni kama yule dada ni fake sana, yaani shes not original, mambo yake anayofanya ni kuiga na kujiweka sana tofauti na sisi tunaoishi naye,yaani nimechoka ndani ya miezi miwili tuuu!!
Eee mungu nisaidie usijaribu kufanya makosa kama haya kama unataka kuishi vizuri,kwa sasa hivi namtafutia kona ya kumbana mpaka aondoke zake
nimeamua kuleta hii kwa sababu leo ni weekend ebu tukae tuongee kuhusu maisha yetu ya kawaida huku tukijipumzisha kwa mawazo yanayotupa tabu kweli kweli?
nimepanga nyumba kubwa ya vyumba vinne, sina familiya naishi peke yangu, nikaamua kupata mtu wa kushare naye, mimi nikachukua sitting room na master bedroom, akaja mtu mmoja ninayemjua akaniletea dada wa kikenya, kwanza nilishtuka halafu moyoni nikasema hii hapana siwezi kuishi na mkenya hata kidogo, baada ya yule dada kuleta story nyingi sana jinsi alivyo smart na msomi na amekaa sana ulaya na sehemu mbalimbali hapa tanzania nikajikuta namkubalia kuishi na mimi
sasa huu ni mwezi wa pili tangu tumeanza kuishi,kwa kweli dada anakera mno,yaani wakuu dada zetu watanzania ni watu wazzuri sana ndio sasa naanza kujionea,kuna kitu ametuonyesha live""eti mbona watanzania hawajui mambo mengi" "utasemaje maneno kama hayo mbele ya wenye nchi yao!!kwa ujumla kwa jinsi tunavyoishi ni kama yule dada ni fake sana, yaani shes not original, mambo yake anayofanya ni kuiga na kujiweka sana tofauti na sisi tunaoishi naye,yaani nimechoka ndani ya miezi miwili tuuu!!
Eee mungu nisaidie usijaribu kufanya makosa kama haya kama unataka kuishi vizuri,kwa sasa hivi namtafutia kona ya kumbana mpaka aondoke zake