buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 3,140
- 6,287
Umofia kwenu wakuu.
Naona kila thread ya jukwaa hili kwenye comment wakenya wanahasira na chuki za juu baada ya kutoa kapepa ambako me binafsi sijaconfirm kuwa Tanzania haijapigia Kenya kura.
Wakenya hebu tulieni bana, sisi ni nchi huru na kupiga kura tunapiga kwa hiari tukiwa na akili timamu kabisa.
Sasa nyie kukosa mnakomaa na sababu za kina Geza Ulole, Joto la Jiwe na Kadhalika.
Serikali ndiyo inajua kwa nini?
Urafiki na undugu upo, ila kutumia neno urafiki ili mpate mnachotaka sio urafiki huo.
Heshimuni maamuzi ya rafiki zenu.
Kumbuka muda huu wa kura kumekuwa na mikwaruzano kati ya Kenya na Tanzania juu ya janga la Corona.
Mmesahau mlivyokuwa mnatoa maneno machafu kipindi tunadili na Corona na fake news zenu.
Basi kama kumpakazia tope ndugu na rafiki yenu, huku mkitegemea awafaidishe muda mnaotaka ndio nini hicho?
Tulieni basi hata nyie mmeenda kinyume na Tanzania mara nyingi sana na hatujalilia huku mitandaoni.
Alafu nakumbuka mlisema Ethiopia ni ndugu yenu wa kweli kuliko Sisi inakuwaje mnamuelewa alafu sisi mnatukomalia.
Uganda mnadai anategemea mombasa Port duh!
Niishie hapa.
Heshimuni maamuzi ya Tanzania yakiwa hasi au chanya hatupo hapa kufurahisha nyie. Tupo huru.
Naona kila thread ya jukwaa hili kwenye comment wakenya wanahasira na chuki za juu baada ya kutoa kapepa ambako me binafsi sijaconfirm kuwa Tanzania haijapigia Kenya kura.
Wakenya hebu tulieni bana, sisi ni nchi huru na kupiga kura tunapiga kwa hiari tukiwa na akili timamu kabisa.
Sasa nyie kukosa mnakomaa na sababu za kina Geza Ulole, Joto la Jiwe na Kadhalika.
Serikali ndiyo inajua kwa nini?
Urafiki na undugu upo, ila kutumia neno urafiki ili mpate mnachotaka sio urafiki huo.
Heshimuni maamuzi ya rafiki zenu.
Kumbuka muda huu wa kura kumekuwa na mikwaruzano kati ya Kenya na Tanzania juu ya janga la Corona.
Mmesahau mlivyokuwa mnatoa maneno machafu kipindi tunadili na Corona na fake news zenu.
Basi kama kumpakazia tope ndugu na rafiki yenu, huku mkitegemea awafaidishe muda mnaotaka ndio nini hicho?
Tulieni basi hata nyie mmeenda kinyume na Tanzania mara nyingi sana na hatujalilia huku mitandaoni.
Alafu nakumbuka mlisema Ethiopia ni ndugu yenu wa kweli kuliko Sisi inakuwaje mnamuelewa alafu sisi mnatukomalia.
Uganda mnadai anategemea mombasa Port duh!
Niishie hapa.
Heshimuni maamuzi ya Tanzania yakiwa hasi au chanya hatupo hapa kufurahisha nyie. Tupo huru.