Wakemia wa sabuni wamepitwa na teknolojia?

Penguini

JF-Expert Member
Apr 24, 2013
388
299
Habari zenu wana jamvi,
Kila mmoja wenu anajua kuwa unapoosha kichwa ama uso kwa sabuni, mapovu, huwasha machoni,
je kwa zama hizi bado tuna ubunifu 'dhaifu' kiasi hicho?

Juzi juzi nimeugua macho, ule ugonjwa uliovuma sana, na kwa kuwa kipindi cha virusi vya korona tuliambiwa kuwa virus huondolewa kwa sabuni ya unga pia, mie nilichanganya maji na sabuni ya unga ya 'MOO'.

Nimeitumia mpaka nimepona, ila ile sabuni, japo ni ya kufulia HAIWASHI MACHONI KABISA, whetever kwamba inaweza kuwa na side infect ama la, ila haikuniwasha na imenitibu, sasa nimepata swali, kwa nini hawa watengeneza sabuni bado wanatengeneza sabuni zinazowasha?

Je, ule muwasho una ulazima gani? Ama wamechelewa ki-teknolojia?
 
waje watu update huenda zipo japo tupo wengi hatujawahi ziona
 
Wajinga ndio huaminishana hivi hivi kwamba hiki kinaponesha,kile kinatibu,kojolea hapo utakuwa sawa. Ni Sayansi basic sana mkuu,mpaka sasa hatuna dawa za kuua Virus,miili yetu hupambana na virus yenyewe,hata usingepaka chochote ungepona tu.
 
Wajinga ndio huaminishana hivi hivi kwamba hiki kinaponesha,kile kinatibu,kojolea hapo utakuwa sawa. Ni Sayansi basic sana mkuu,mpaka sasa hatuna dawa za kuua Virus,miili yetu hupambana na virus yenyewe,hata usingepaka chochote ungepona tu.
Umeandika nini?
 
Habari zenu wana jamvi,
Kila mmoja wenu anajua kuwa unapoosha kichwa ama uso kwa sabuni, mapovu, huwasha machoni,
je kwa zama hizi bado tuna ubunifu 'dhaifu' kiasi hicho?

Juzi juzi nimeugua macho, ule ugonjwa uliovuma sana, na kwa kuwa kipindi cha virusi vya korona tuliambiwa kuwa virus huondolewa kwa sabuni ya unga pia, mie nilichanganya maji na sabuni ya unga ya 'MOO'.

Nimeitumia mpaka nimepona, ila ile sabuni, japo ni ya kufulia HAIWASHI MACHONI KABISA, whetever kwamba inaweza kuwa na side infect ama la, ila haikuniwasha na imenitibu, sasa nimepata swali, kwa nini hawa watengeneza sabuni bado wanatengeneza sabuni zinazowasha?

Je, ule muwasho una ulazima gani? Ama wamechelewa ki-teknolojia?
inawasha machoni ili uoshe macho endapo itayagusa

isipowasha basi sabuni itainhia machoni freely na hauwazi

kuna chemicals nyingi si salama sana kwenye sehemu za muhimu kama jicho.

jicho ni extension ya ubongo moja kwa moja, yaani limekua connected directly kutoka kwenye ubongo kwahiyo ni sehemu ya ubongo.

hiyo sabuni ya unga ya kufulia labda haiwashi kwasababu wanajua ni ngumu kufika machoni.

na ni kwanini uoshe macho na sabuni tena ya kufulia, unataka kuyafua ?
 
inawasha machoni ili uoshe macho endapo itayagusa

isipowasha basi sabuni itainhia machoni freely na hauwazi

kuna chemicals nyingi si salama sana kwenye sehemu za muhimu kama jicho.

jicho ni extension ya ubongo moja kwa moja, yaani limekua connected directly kutoka kwenye ubongo kwahiyo ni sehemu ya ubongo.

hiyo sabuni ya unga ya kufulia labda haiwashi kwasababu wanajua ni ngumu kufika machoni.

na ni kwanini uoshe macho na sabuni tena ya kufulia, unataka kuyafua ?
kufua ni kiasha nguo na kuoga ni kufua mwili hakuna tofauti hapo, hoja ni aina za sabuni
 
Aisee niliwahigi kuogea sabuni ya unga nilimaliza karibia ndoo tatu za maji mtelezo wa sabuni hauishi mwilini ikanibidi nitoke tu hivyo hivyo
 
Kuna mshua aliniambia ukioga na sabuni na ikakuwasha machoni jua hiyo siyo sabuni yakuogea aka recomend tumia sabuni za maji kuogea achana na hizi za maji za kwenye vichupa vya afya toka hapo cjawahi pata hyo shida anyway TAFUTA PESA MKUU sabuni za kuogea utazijua
 
kufua ni kiasha nguo na kuoga ni kufua mwili hakuna tofauti hapo, hoja ni aina za sabuni
kemikali zinazotumika ni tofauti kabisa, sabuni za kufulia zimetengenezwa special kuondoa aina Fulani ya uchafu na madoa kwenye surface mbali mbali, wewe unaogea kwasababu unaona ina mapovu.

hasa sabuni ya unga unayoongealea umeoshea macho hiyo ni detergent kabisa ya kuondolea madoa sugu
kufua ni kiasha nguo na kuoga ni kufua mwili hakuna tofauti hapo, hoja ni aina za sabuni
hasa hiyo sabuni ya unga uliyoongelea ni detergent ambayo ni specific kuondoa madoa sugu kwenye surfaces mbalimbali

wewe unaoshea macho au unataka kuondoa hilo doa jeusi
 
Back
Top Bottom