Ndio maana nikaweka neno "hekima"Tatizo wengi wanakuwa hawana utayari yaani yeye ndio amamua iwe hivyo
Mwambie kifo cha mende hakitakiwi, asije akatoa kifo cha mende huko
Kwasababu wewe ni mzuriKwanini?
Endapo picha ikiwa ni ya kwako kwelihaya Asante.
Yaani unazungumzia avatar? Sio Mimi huyo.Endapo picha ikiwa ni ya kwako kweli
Naomba picha yako basi ili ninavyokufikiria iwe kweliYaani unazungumzia avatar? Sio Mimi huyo.
OK, kwa kuwa ni mzaramo basi hawezi kuwa haelewi hayo makituTatizo lako we hujakaa na wazaramo, hiyo saikolojia kuna sehemu haifanyi kazi
Ndo ipoje hiyo mkuuAisee ...mm juzi wife kanipa style ya popo kanyea mbingu yaan hapa tupo out.
Mkeo anaamua jambo usilolitaka na wewe unakubali tu hivihivi?udhaifu huo jombaa,Mkazie.Tatizo wengi wanakuwa hawana utayari yaani yeye ndio amamua iwe hivyo
Sijazungumzia suala la ubabe mkuu,Mume anatakiwa aheshimiwe,ukiwa mume imara mwanamke hawezi hata kuwa na ubavu wa kukuletea hizo pigo za staili moja.Nidhamu lazima iwepo ndani ya nyumba na wewe ndio wakuijenga hyo nidhamu.Kwanini akukatalie,kwanini ajiamulie anavyotaka yeye,hyo jeuri anaitolea wapi,lazima kutakuwa kuna kitu hakiko sawa baina yenu,fanya tathmini kaka.Tatizo kuna maeneo ubabe haufanyi kazi kama kugegeda, maana unaweza kosa kabisa
Ndo ubadilike sasa..Teh teh teeeeeh!! Mbona samasoti!