Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,639
Hata wewe hauridhiki na mwenzako?
nimekumiss ujue.........halafu eti we unaridhika na mwenzio????????
Hata wewe hauridhiki na mwenzako?
Hili neno la kulalana la zamani kweli kweli...
Ukisoma katikati ya mistari utagundua tu dogo anajishaua. Hamna lolote.
Hivi huwa tunalalana au nakulala..??.......... baadae twende tukalalane.........
.......... Baadae twende tukalalane.........
kaja kumsema JF wakati wanakaa mtaa mmoja angemwambia mda ule ule
tena kabla hawajaenda kulalana........wameshalalana ndio anakuja kuanzisha thread
Ina maana Mangi ukiwa umetoka tu kuna watu wanakuja kumgegeda my wife wako? Kweli?
Wanaume wenye tabia za kiume ni wachache sana siku izi
nimekumiss ujue.........halafu eti we unaridhika na mwenzio????????
Kuna katabia sijui ndio digitali yenyewe,mke wa mtu(wenye ndoa kabisa) akijua mwenzake:
1.Amesafiri kikazi let say siku 5-Katika siku hizo tano lazima agegedwe nje sio chini ya mara 2
2.Ikitokea amesafiri either kikazi,kwenda kusalimia kwao,kwa vyovyote atakaporudi lazima atakuwa amegegedwa
3 .Akihihisi mwenzake(mume wake)ana mahusiano nje,japo sio kwa kumuona live lazima na yeye akatafute wa kumgegeda.Sasa hivi ni mtindo wa ushindani full,kuonyeshana ubabe.
Naongea hivi kwa sababu kuna demu(mke wa mtu)mwanzoni nilikuwa namheshimu sana,mume wake alisafiri kikazi nikakutana naye mida ya jioni siku hiyo mume wake aliposafiri,nilikuwa naelekea Bar ya jirani kupata moja moto,moja baridi yeye anaelekea sokoni,nikampa lifti simply sikumtongoza zaidi ya yeye kujitongozesha kwangu matokeo yake Safari ya sokoni iliishia guest.
JAMANI WAKE ZA WATU TULIENI,MNAWADHALLILISHA NA KUWAFEDHEHESHA WANAUME ZENU.
kuna katabia sijui ndio digitali yenyewe,mke wa mtu(wenye ndoa kabisa) akijua mwenzake:
1.amesafiri kikazi let say siku 5-katika siku hizo tano lazima agegedwe nje sio chini ya mara 2
2.ikitokea amesafiri either kikazi,kwenda kusalimia kwao,kwa vyovyote atakaporudi lazima atakuwa amegegedwa
3 .akihihisi mwenzake(mume wake)ana mahusiano nje,japo sio kwa kumuona live lazima na yeye akatafute wa kumgegeda.sasa hivi ni mtindo wa ushindani full,kuonyeshana ubabe.
Naongea hivi kwa sababu kuna demu(mke wa mtu)mwanzoni nilikuwa namheshimu sana,mume wake alisafiri kikazi nikakutana naye mida ya jioni siku hiyo mume wake aliposafiri,nilikuwa naelekea bar ya jirani kupata moja moto,moja baridi yeye anaelekea sokoni,nikampa lifti simply sikumtongoza zaidi ya yeye kujitongozesha kwangu matokeo yake safari ya sokoni iliishia guest.
Jamani wake za watu tulieni,mnawadhallilisha na kuwafedhehesha wanaume zenu.
omg!!!!!!!!!
.......... baadae twende :disapointed:.........
ila we mleta thread umejiaibisha tu unasema safari ya sokoni iliishia gesti huko
gest alienda mwenyewe si mlienda pamoja........!!!!!!!na kumgegeda ukamgegeda