Wake za watu mna nini?

Barchelors ndio mada zenu kumbukeni hao mnao waona wanagawa mbususu ndio wake zenu vinginevyo kama mtaenda kuoa kwenye bustani ya heden ambapo wapo wa hivyo hivyo tu wanarubunika bila kujua wamechepuka kwa sababu gani.
 
Ridhisheni wake zenu........

Wapeni mahaba na matunzo

Acheni kuchepuka hovyo hovyo in the name ya mwanaume hawezi kuwa na mwanamke mmoja... acheni visiranj vya hovyo(haswa mkishapata micheps)



La sivyo


Wake zenu


Watauza mechi tu


Hamna namna
Umeongea mkuu
 
Sasa mzee Ana miaka 50
Na Ana mchepuko unategemea anaweza kumridhisha mkewe?!
Hili nalo neno.
sasa na wale ambao umri wa waume zao haujaenda sana kiasi kwamba wanakaribiana. Shida inakuwa nn?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…