Nakupa pole yafuataye kwa lowasa kuwa rais ni ndoto,pigeni kelele mnavyoweza,
1,mugogoro na vyombo vya dora
2,mwaka huu mitandao ya majizi haipewi nchi,ilimsaidia kikwete kwenda ikulu tumeona matunda yake na sasa baada ya hiyo mitandao kukosa nafasi imegeuka upande wa pili mitandao hilehile unataka kwenda ikulu,
Nawapa pole sana ikishindikana wengi kufanya mahamuzi,wachache wenye akili watafanya mahamuzi,