Pius J. Kiwarya Lema
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 1,097
- 571
Zinakuhusu nini mbona haujaleta kero za lowasa na Regina chini ya melinagu,pia na baada ya kiarusi kuvunga kila kitu chini,na mkewe kuishi kama,,,[/
kama unajua hazinihusu vivyo nanyi habar za Lowasa na mkewe haziwahusu acheni kuzijadiri.
Nani anakwambia ikulu mwaka huu ataingia jizi na fisadi? Ni ndoto za mchana kufikiri ikulu itakabiziwa kwa jizi kisa eti tamaa ya urais,
ukweli n mchungu kumeza
lakin
east or weast
magufuli is best
viva magufuli viva
i guess you are missing a point here... Magufuli can be the best but what about 'ccm ni ileile'?
Now with this dude being 'ile ile' better lowasa outside ccm!
Lowasa na melinagu kabla kiarusi hakijamfanyia tohara,tunayajua mengi ila tumukaa kimia,MKE wamagufuli yupi MDOGO au yu le n...... Masaki
Kanone.tuambie wizi wa lowassa kwa mapana na marefu.na wema wa magufuli kwa mapana na marefu
Ukitaka ujue hali ilivyo jiulize kwanini mbowe anapiga kelele na kugombana na vyombo vya Dora! Hivi kuna rais anaingia madarakani na migogoro na Dora,poleni madikini mbowe aliwauza tulioshutuka tunaondoka na sla. Wetu,Ukimsikia MTU anadai eti tamaa ya Urais jua
Kwamba Lowassa ni I .rais.........
Na wanajua hali ya.magamba ni mbayaa
ni bora mtu aliyeishi na mashetani lakini akawa mtakatifu ,hakika tunaweza kumpima kuwa kama ameishi na mashetani lkn akawa mtakatifu,inamaana anatosha kuriko shetani anayejigeuza kama kinyonga na kuwaada watu kuwa ni maraika lkn ukimuangalia yeye na mitandao iliyomzunguka na yeye bado ni shetani wa roho ila ni malaika wa sula
magufuli v lowasa,
Huyu ndiye Lowassa - Rais anayesubiriwa kuapishwa.
Lowassa ni kada mkongwe anazijua fika siasa za Tanzania, Afrika na Dunia nzima
Lowasa hatumii wasanii kuvuta watu kwenye mikutano yake
Lowassa hatummi lugha za matusi kwenye kampeni zake
Lowassa hata kama akitukamwa na kukejeliwa yeye ni moto chini na watu ni nyomi kwenye mikutano yake
Lowassa anakubalika kwenye makundi yote, kinamama, vijana na vikongwe
Lowassa bado anakubalika ndani ya chama cha CCM - kuna wanachama watampigia kura
Lowassa na mtaji wa kura za wanachama wa CCM, CHADEMA, CUF,NCCR na NLD kunogesha ushindi
Lowassa ni mvumilivu wa kisiasa, hakurupuki na hana muda kujadili majungu.
Lowassa ni mgombea pekee mwenye uhakika wa kupata kura toka kwa vyama vikubwa 5 - iliwemo CCM yenyewe.
Kauli ya kukata tamaa mkuu, kwani huwezi linganisha mtu mwenye certificate na mwl wa shule ya msingi anayefundisha std ukamlinganisha nw nwenye masters. Hivi huyo mwl atawaambia nini watu ambao wengi wao ni wasomi sana tuu !!! ?Magufuli aliwambia wananchi kuwa hatafuti uzee wa kimila wala uchief wa kabila lake hivyo haoni umuhimu wa kuambatana na familia kuomba kuongoza watanzania.
Ikumbukwe kuwa mke wa Magufuli ni mwajiriwa Serikalini hivyo hawezi kuacha kwenda kufundisha watoto wa maskini na kupingana na kauli ya mme wake.Huo ndio mgawanyo wa majukumu.
Acheni Regina azunguke kwa sababu anatafuta urais wa mme wake na sio Rais wa Tanzania.
Mkuu unajiaibisha sana! Huyo mtu unamjibu wa nini? We songa mbele, mabadiliko yana vikwazo na namna peke ya kuvishinda ni kudeal na target, kwa sasa kuendelea kulumbuna sio target yetu!
Magufuli aliwambia wananchi kuwa hatafuti uzee wa kimila wala uchief wa kabila lake hivyo haoni umuhimu wa kuambatana na familia kuomba kuongoza watanzania.
Ikumbukwe kuwa mke wa Magufuli ni mwajiriwa Serikalini hivyo hawezi kuacha kwenda kufundisha watoto wa maskini na kupingana na kauli ya mme wake.Huo ndio mgawanyo wa majukumu.
Acheni Regina azunguke kwa sababu anatafuta urais wa mme wake na sio Rais wa Tanzania.
Magufuli aliwambia wananchi kuwa hatafuti uzee wa kimila wala uchief wa kabila lake hivyo haoni umuhimu wa kuambatana na familia kuomba kuongoza watanzania.
Ikumbukwe kuwa mke wa Magufuli ni mwajiriwa Serikalini hivyo hawezi kuacha kwenda kufundisha watoto wa maskini na kupingana na kauli ya mme wake.Huo ndio mgawanyo wa majukumu.
Acheni Regina azunguke kwa sababu anatafuta urais wa mme wake na sio Rais wa Tanzania.
Mke vyumba tofauti?Magufuli aliwambia wananchi kuwa hatafuti uzee wa kimila wala uchief wa kabila lake hivyo haoni umuhimu wa kuambatana na familia kuomba kuongoza watanzania.
Ikumbukwe kuwa mke wa Magufuli ni mwajiriwa Serikalini hivyo hawezi kuacha kwenda kufundisha watoto wa maskini na kupingana na kauli ya mme wake.Huo ndio mgawanyo wa majukumu.
Acheni Regina azunguke kwa sababu anatafuta urais wa mme wake na sio Rais wa Tanzania.