MAGUFULI NA LOWASA:
Magufuli aliwambia wanainchi kuwa hatafuti uzee wa kimila wala uchief wa kabila lake hivo haoni umuhimu wa kuambatana na familia kuomba kuongoza watanzania.
Ikumbukwe kuwa mke wa Magufuli ni mwajiriwa Serikalini hivyo hawezi kuacha kwenda kufundisha watoto wa maskini na kupingana na kauli ya mme wake.Huo ndio mgawanyo wa majukumu.
Acheni Rejina azunguke kwa sababu anatafuta urais wa mme wake na sio rais wa Tanzania.
MAGUFULI NA LOWASA:
Magufuli aliwambia wanainchi kuwa hatafuti uzee wa kimila wala uchief wa kabila lake hivo haoni umuhimu wa kuambatana na familia kuomba kuongoza watanzania.
Ikumbukwe kuwa mke wa Magufuli ni mwajiriwa Serikalini hivyo hawezi kuacha kwenda kufundisha watoto wa maskini na kupingana na kauli ya mme wake.Huo ndio mgawanyo wa majukumu.
Acheni Rejina azunguke kwa sababu anatafuta urais wa mme wake na sio rais wa Tanzania.
Huyu ndiye Lowassa - Rais anayesubiriwa kuapishwa.
Lowassa ni kada mkongwe anazijua fika siasa za Tanzania, Afrika na Dunia nzima
Lowasa hatumii wasanii kuvuta watu kwenye mikutano yake
Lowassa hatummi lugha za matusi kwenye kampeni zake
Lowassa hata kama akitukamwa na kukejeliwa yeye ni moto chini na watu ni nyomi kwenye mikutano yake
Lowassa anakubalika kwenye makundi yote, kinamama, vijana na vikongwe
Lowassa bado anakubalika ndani ya chama cha CCM - kuna wanachama watampigia kura
Lowassa na mtaji wa kura za wanachama wa CCM, CHADEMA, CUF,NCCR na NLD kunogesha ushindi
Lowassa ni mvumilivu wa kisiasa, hakurupuki na hana muda kujadili majungu.
Lowassa ni mgombea pekee mwenye uhakika wa kupata kura toka kwa vyama vikubwa 5 - iliwemo CCM yenyewe.
Magufuli hazunguki na mkewe kwa kuwa ana wake wengi
Kwa hiyo Kikwete alikuwa sahihi au la?Tunachagua Rais wa Nchi na si familia kuwa marais!!!
Asante magufuli viva rais wangu