D
Deleted member 485868
Guest
Kabisa Dada angu..na wengine sasa wanaona suluhu ni kutafuta nyumba ndogo..wanakosea sanaKazia mdogo wangu sababu suluhu ni kuzungumza na mkewe maana siku zote wanasema hakuna binadamu aliyekamilika.
Kabisa Dada angu..na wengine sasa wanaona suluhu ni kutafuta nyumba ndogo..wanakosea sanaKazia mdogo wangu sababu suluhu ni kuzungumza na mkewe maana siku zote wanasema hakuna binadamu aliyekamilika.
Halafu nyie wabishi ka nini, mkikaa nyuma kuna vibaka wanapita na bodaboda...kaeni hukohukoo mbeleAaahh sie ndio tuwe nyuma yako
Hahahaha
Ewaaa nikijikwaa nikaanguka wapi kwa mfano? Si naangukia kwa mbele, najua hata usiponidaka Hajar sitaumia ila usinikwepe tu nikabamiza chini...hahahaaaa😛😛😛
kuoa na kuacha hizo ni hulka za mtu binafsi huezi kusem kwamb wote tunaoa na kuacha ila si sahihi mwanaume kuekewa limit ya mke mmoj kama ilivyo upande mwengine na huko kuchepuka pia usikuidhinishe maan sio sheria pia ni tabia vile vileNa mnaongoza kuowa na kuacha kisa dini bado unawake 3 na unachepuka wanaume amrithikagi ilo ndo jibu ata upewe kila siku Mara 3 bado tu utataka na ya njee uonje
Yaani mpo kama paka ataa ashibe vipi panya akikatiza atamuwinda tu ata kama amli atamchezea tu
Tutakucheka ndio.Inamaana mtanicheka!?🙁🙁🙁
Yaani vurugu zote kwasababu hamtaki kukaa mbele! Haya ngoja nitangulie basi japo kishingo upande😵Tutakucheka ndio.
Kimsingi si vzr kuchepukaMimi mke wangu ananipa unyumba fresh tu na tunapendana ila hata sielewagi kwa nini nachepuka yaani nikimwagana na mchepuko naangaika kutafuta mwingine kama vile niko single sijui aliyeniroga nani
Ewaaaaaa!! Umefanya la maana burazaYaani vurugu zote kwasababu hamtaki kukaa mbele! Haya ngoja nitangulie basi japo kishingo upande😵
Hahah.. Nimecheka bila kujuaNa mnaongoza kuowa na kuacha kisa dini bado unawake 3 na unachepuka wanaume amrithikagi ilo ndo jibu ata upewe kila siku Mara 3 bado tu utataka na ya njee uonje
Yaani mpo kama paka ataa ashibe vipi panya akikatiza atamuwinda tu ata kama amli atamchezea tu
AiseeMimi mke wangu ananipa unyumba fresh tu na tunapendana ila hata sielewagi kwa nini nachepuka yaani nikimwagana na mchepuko naangaika kutafuta mwingine kama vile niko single sijui aliyeniroga nani