Wake ni chanzo cha nyumba ndogo

Wake ni chanzo cha nyumba ndogo

Na mnaongoza kuowa na kuacha kisa dini bado unawake 3 na unachepuka wanaume amrithikagi ilo ndo jibu ata upewe kila siku Mara 3 bado tu utataka na ya njee uonje

Yaani mpo kama paka ataa ashibe vipi panya akikatiza atamuwinda tu ata kama amli atamchezea tu
kuoa na kuacha hizo ni hulka za mtu binafsi huezi kusem kwamb wote tunaoa na kuacha ila si sahihi mwanaume kuekewa limit ya mke mmoj kama ilivyo upande mwengine na huko kuchepuka pia usikuidhinishe maan sio sheria pia ni tabia vile vile
 
Na mnaongoza kuowa na kuacha kisa dini bado unawake 3 na unachepuka wanaume amrithikagi ilo ndo jibu ata upewe kila siku Mara 3 bado tu utataka na ya njee uonje

Yaani mpo kama paka ataa ashibe vipi panya akikatiza atamuwinda tu ata kama amli atamchezea tu
Hahah.. Nimecheka bila kujua
 
Mimi mke wangu ananipa unyumba fresh tu na tunapendana ila hata sielewagi kwa nini nachepuka yaani nikimwagana na mchepuko naangaika kutafuta mwingine kama vile niko single sijui aliyeniroga nani
Aisee
 
  1. Kumiliki mwanamke kunahitaji skills na skills ni zaidi ya pesa, alijisemea mhenga mmoja aliyesikia kijana akilalama
  2. Bibi akaniambia sisi wanawake ni watu tusiotabirika hivyo ili uishi nasi huna budi kutoeleweka pia
  3. Mcha Mungu mmoja akasema kwa masikitiko toka kwenye maandiko "WANAWAKE WAPENDENI WAUME ZENU NANYI WAUME ISHINI NA WAKE ZENU KWA AKILI"
  4. Tumekaa zetu maskani akaja chizi mmoja akasema eti OOH NDOA NI VAZI LISILOKUA NA SARE wanywa kahawa wakamuuliza kwahiyo SHONA STYLE UIPENDAYO
  5. Akanirai baba kwamba usimuonyeshe mkeo kwamba unampenda kwakua utakua umemkabidhi godawni la silaha za kukuadhibia
NYONGEZA
Kwanini mkeo asikuambie kwamba kachoka kwakua badala ya kumfanya mkeo umemfanya LIFE PARTNER utasikia mama watoto leo mambo yangu yamekaa vibaya hebu jiongeze tutaonana nikirudi kwenye mizunguko, kwa kufanya hivyo ushaiuza ile haki yako ya kupata uroda muda wowote unaotaka...
 
Back
Top Bottom