Ameikataa aibu..amekubali kukaa mbele.
Hahaaa. Ila nimechekaaaa. Hivyo ukianguka kwa mbele huwezi kuumia eee?Ewaaa nikijikwaa nikaanguka wapi kwa mfano? Si naangukia kwa mbele, najua hata usiponidaka Hajar sitaumia ila usinikwepe tu nikabamiza chini...hahahaaaa😛😛😛

Namuomba aliyekuandikia hili gazeti mdogo wangu.kuoa na kuacha hizo ni hulka za mtu binafsi huezi kusem kwamb wote tunaoa na kuacha ila si sahihi mwanaume kuekewa limit ya mke mmoj kama ilivyo upande mwengine na huko kuchepuka pia usikuidhinishe maan sio sheria pia ni tabia vile vile

Namuomba aliyekuandikia hili gazeti mdogo wangu.![]()
![]()
![]()
Sijawahi ona Mtanga miee.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
















nimeanza kubadilika dada maan lawama zimekuwa nyingiEwaaaaa. Haya ndio maneno mdogo wangu.nimeanza kubadilika dada maan lawama zimekuwa nyingi
Sent from my GT-I9060I using JamiiForums mobile app

Ewaaaaa. Haya ndio maneno mdogo wangu.
Nukta, ngoja waje tupa kule.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()








yaani nimecheka tena kwa kishindoHahaaaa. Cheka tu maana nakumbuka uliwahi ulianzisha uzi kuna mmoja akasemayaani nimecheka tena kwa kishindo

Tupo kaka ake. Huyo aliyekuficha mwambie atuchukue na sisi ili tuwe tunakuona maana si kwa kuadimika huko ndugu yangu.
Hahaaaa. Cheka tu maana nakumbuka uliwahi ulianzisha uzi kuna mmoja akasema
"wewe kwenye nyuzi wa wenzako huwa unasema ngoja waje na mie nasema ngoja waje"
Nikasema lol. Haya andika magazeti mdogo wangu. Usiache eee.![]()
![]()
![]()




nilicheka ile siku weweee nikasema kweli muosha huoshwa now mebadilika siuonaniona hata wewe mwenyewe nakiri haswaa kubadilika wew shahidi ukikuta nukta ujue sio mimi kabisaaa kuanzia leoTupo kaka ake. Huyo aliyekuficha mwambie atuchukue na sisi ili tuwe tunakuona maana si kwa kuadimika huko ndugu yangu.
Kwema?




kher Inshaallahnimewamiss pia sana tu ndugu zangu, pia nafurahi kuwaona mpo na afya njema
Hamsikii nyie watoto eeh, haya rudini nyuma ila simu zenu mtazichuka wenyewe na vibaka, siku hizi wanapita na bodaboba
Ntaumiaje sasa kwa mfano labda ufanye mtmanyongo ujikwepeshe😛😛😛😉Hahaaa. Ila nimechekaaaa. Hivyo ukianguka kwa mbele huwezi kuumia eee?![]()
![]()
Halafu nikichepuka ile kujifeel guilty inafanya niongeze upendo kwa mke. Kwa hiyo uwa nachukulia kama kichocheo cha kumpenda mamsap. Yaani nikichelewa kwa mchepuko uwa najipiga adhabu ya kupeleka zawadi kwa wife mwenyeweKimsingi si vzr kuchepuka