ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,556
Wakati wa uchumba mambo yanaenda sawia.. Kukutana japo kwa kuibana sehemu tofauti ni burudani tosha na mahaba tele ikiwa pamoja na kuoga pamoja
Baada ya kupata mtoto wa kwanza.. Kuna ka tofauti unaanza kukaona... Mtoto wa pili.. Katofauti kanaongezeka... Wa Tatu... Ooh... Yale yote ya uchumba uliozoea hakuna kabisa!?
Yote tisa shida kubwa inakuja kwenye faragha.. Mke anafanya kila namna kukukimbia wakati wa kulala ikiwa ni pamoja na visingizio vingi..
(1)Leo nimeichoka sana
(2)Leo nina usingizi mwingi
(3)Kesho naamka mapema sana
Na mengine mengi
Cha ajabu wakati wa mchana au wakija wageni muda wote yuko vizuri shida ifikapo muda wa kulala, mara nyingine unafanya ku force sasa ujue mambo haya ya nature hayataki nguvu... Utakosa feeling tu hata akiruhusu ki shingo upande!
Changamoto inakuja pale unapotoka nje kwa Mihangaiko ya kawaida unakutana na mambo mengi unakutana na wanawake wa age tofauti walio single na wengine wengi wakiwa wameikosa faragha ya kuwa na mwenza kwa kipindi kirefu ama kwa kukosa Bahati ya kuolewa ama kwa kufiwa... Na unakuta wanakuhitaji kweli.. Hapo ndio unapoomba mungu akupe uvumilivu
Huwa najiuliza ni nature tu au? Upande mwingine huwa najikuta naunga mkono utaratibu wa dhehebu la wenzetu wa kuwa nao wanne kweli walikuwa sahihi
Na hapa ndio sehemu pekee penye tatizo kubwa la Ndoa
Na ukichunguza ndio sababu hasa za waume tuwe na nyumba ndogo si kama wengi wanapenda
Rekebisheni!!
Baada ya kupata mtoto wa kwanza.. Kuna ka tofauti unaanza kukaona... Mtoto wa pili.. Katofauti kanaongezeka... Wa Tatu... Ooh... Yale yote ya uchumba uliozoea hakuna kabisa!?
Yote tisa shida kubwa inakuja kwenye faragha.. Mke anafanya kila namna kukukimbia wakati wa kulala ikiwa ni pamoja na visingizio vingi..
(1)Leo nimeichoka sana
(2)Leo nina usingizi mwingi
(3)Kesho naamka mapema sana
Na mengine mengi
Cha ajabu wakati wa mchana au wakija wageni muda wote yuko vizuri shida ifikapo muda wa kulala, mara nyingine unafanya ku force sasa ujue mambo haya ya nature hayataki nguvu... Utakosa feeling tu hata akiruhusu ki shingo upande!
Changamoto inakuja pale unapotoka nje kwa Mihangaiko ya kawaida unakutana na mambo mengi unakutana na wanawake wa age tofauti walio single na wengine wengi wakiwa wameikosa faragha ya kuwa na mwenza kwa kipindi kirefu ama kwa kukosa Bahati ya kuolewa ama kwa kufiwa... Na unakuta wanakuhitaji kweli.. Hapo ndio unapoomba mungu akupe uvumilivu
Huwa najiuliza ni nature tu au? Upande mwingine huwa najikuta naunga mkono utaratibu wa dhehebu la wenzetu wa kuwa nao wanne kweli walikuwa sahihi
Na hapa ndio sehemu pekee penye tatizo kubwa la Ndoa
Na ukichunguza ndio sababu hasa za waume tuwe na nyumba ndogo si kama wengi wanapenda
Rekebisheni!!