Wake kwa waume nipeni jibu

Wake kwa waume nipeni jibu

Inawezekana tena sana, nawajui watu weng wamepata wapenz kwa njia ya social networks au kukosea no ya cm wakaanzsha mazoea, wakapendandana hata bila kuonana na sku ya kuonana jamaa kapewa 071... Na mbaka, leo wako pamoja mwaka wa 2

Hii kali, yani sio kuzama cumvini tena, bali 071..... mh, hao pia ni mashujaa
 
lara 1 mbona waguna?

Naguna TWISHENI YOTE NAYOTOA HUMU FREE OF CHARGE WATU BADO WANALIWA UBUYU KWA GIA ZA ZAMANI!!! Sasa baada ya kumungunywa alilaje? Msheeeeeeeeeeeew!!!!!!!!!!!!!!
 
Hii kitu inanigusa maana ilikwishawahi kunitokea zamani sana ila mimi sikuzama chumvini bali nilikula chakula cha usiku mpaka asubuhi,demu alikuwa bomba ile mbaya na lilikuwa ni kosa la jinai kumuacha,kilaji kilitusaidia maana mtoto baada ya kupata bia tatu hali ya hewa ilibadilika na kunipa wasaa wa kufaidi.

Hayo mambo yapo duniani ila kwa mtu ambaye haijawahi kukutokea unaweza kudhani ni jambo lisilowezekana.
 
Oooh ni kweli kabisa mnajifanya kukataa mdomoni tu acha kabisa kitu kinaitwa hisiaa
 
  1. Je, inawezekana ukampenda mtu pasipo kumuona physicaly ila kwa kuongea tu kwenye simu hadi kutamani kuvunja amri ya sita?
  2. Mmeonana sasa for the first time, je mwanaume unaweza kuzama chumvini pasipo kufanya the tendo itself? na wewe mwanamke utakubali kufanyiwa hivyo na mtu ambaye umeonana nae for the first time?


Suala la kupenda mtu pasipo kumwona inawezekana but inategemea umependa kitu gani hasa na ni risky sana,mfano unaweza ukawa unaisikia sauti yake tu na ndo ikakuvutia zaidi na ukajikuta unaanza kumpenda coz of sauti yake but wakati huo kichwani huna picha ya mtu mwenyewe yukoje sanasana utaanza ku assume how that person looks like.sasa ikijatokea mkakutana ukiwa na picha fulani ya huyo mtu na kwa bahati mbaya ukakuta hayuko kama ulivyokuwa unafikiria,kuna uwezekano mambo yakaishia hapo hapo na kila kitu kikafa.Suala la kuzama chumvini nadhani ni maamuzi ya mtu but in short utakuwa unahatarisha afya yako.
 
  1. Je, inawezekana ukampenda mtu pasipo kumuona physicaly ila kwa kuongea tu kwenye simu hadi kutamani kuvunja amri ya sita?
  2. Mmeonana sasa for the first time, je mwanaume unaweza kuzama chumvini pasipo kufanya the tendo itself? na wewe mwanamke utakubali kufanyiwa hivyo na mtu ambaye umeonana nae for the first time?


Mhhhh!
 
Jamani hii kitu inawezekana mnoo.mimi nimewahi kumpenda mtu kwa njia ya simu tumewasiliana kwa muda wa mwezi mmoja kabla hatujaonana nikajikuta nampenda mnooo.jamani alikuwa anajali huyu mwanaume hee sikuwahi kukutana na wa style ile,yani full madekodeko.hatimaye kuonana nilikuwa na uchu nae kuliko mfano,tulibambana hivyohivyo no protection wala nini na chumvini alizama,utamu wake sasa uuwii sitaki kukumbuka.na sasa ni mume wangu tuna mtoto mmoja na ndoa ya miaka minne.haa nampenda sana mume wangu.
swala ni kwamba watu wengi wanafanya ila wanataka waonekane malaika wanajifanya ooh mi siwezi lakini moyoni wanajua wanachokifanya.


am out.

Nje ya mada:jamani nawekaje vismile na picha sijui avatar??
 
Hii kitu mbona ya kawaida sana! Kuna wale wanaokosea namba, wanaoiba namba kwa rafiki zao baada ya kuwa wamehadithiwa kuhusu ww. Ni kitu cha kawaida. Huo ndio ukweli na utabakia kuwa huo
 
Back
Top Bottom