Wakazi wengi wa Uswahilini Dar es Salaam ni viumbe wa ajabu sana

Huo ni mfumo flani ambao umejengwa ndani ya dini flani na malengo flani ambayo ni ya kishetani. Kuwa mwangalifu na watu hao ni hatari sana na kila kitu kwao lazima wakifanye kwa ushirikina.
Ninaamini kabisa. Watu wa ajabu ajabu na wenye udini mno hasa wanawake. Mgeni hasa ukiwa wa dini ileee, utauziwa halafu wa kwao akina Ali wanapewa bure.
 
Kimjaacho mtu ndicho kimtokacho, umasikini (wa akili) ndio unakusumbua.
Pili, inainekana una udini mbaya sana.
Tatu, inaonekana ndio kwanza umefika DSM ukaikuta picha tofauti na uliyoelezwa utokako.
Nne, unaonekana ndio umeingia chuo mwa wa kwanza.
Tano, inaonekana sio Mtanzania ndio maana una ubaguzi wa ajabu hata umediriki kusema sio ndugu zako.
Mwisho, inaonekana akili zako zinaendekeza zinaa(uzinzi)
Watu kama nyie mnaweza kuuwa
watu endapo mkapata uongozi.
Sawa. Ahsante
 
Ukitaka Kula madem wa uswazi tafuta wale masela wa kitaa akufanyie sab, ukiwa uswazi ukaleta mitikasi ya ki gentlemeni lazma wakukataee wakina ashura wanajua kabisa sio mtu wao
Sasa wakikukataa si ndiyo safi? Wale 'machizi' wa huko wenyewe wengi wao ni mamluki tu. Wa kuja ndiye anafangiwa sub. Born town mimi nafanyiwaje sub? I am not that dumb.
 
Waswahili wengi wanaishi maisha ya Hovyo, Mabaya, ya Uchafu na kuridhika na Umasikini

Mara nyingine mbali na kukubaliana na maisha hayo utakuta Wanajisifia kuzaliwa Uswahilini, eneo ambalo halina maji safi na salama ya uhakika, miundo mbinu mibovu, nyumba mbovu, jalala karibu na mlango hakuna sewage system nzuri, hakuna eneo la kutosha hata kupanda miti, hewa chafu

Takataka kabisa
Si ndiyo serikali inavyotaka (mtazamo binafsi)? Wajinga wasishtuke.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom