tayari mmesahau yaliyomkuta mathayo mpelekeni na huyo apewe shule yakeKwa kweli Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ni mtu muhimu sana kwenye hiki kipindi wakazi wa Musoma Mjini lulu yenu hiyo.
mura hizo habari umezitoa mtaa gani mbona huyo muhongo hafahamiki hapa msm town ukweli kazi wanayofanya chadema hawa ccm wasahau hili jimbo kabisa naomba wadau mfike musoma mjione wenyewe haya tunayosema
Sio kweli..Mkendo tupo wenyewe - The Kigeras hatumfahamu..Mura wewe lazima utakuwa unakaa Migori Kenya, ulizia mitaa ya Mkendo-Kati mpaka Uhuru, Kawawa, kote anafahamika.
Wewe ni Muongo wa kutupwa kwa lindi la sahaurika.
Wakazi wa Majita ambao wapo katika jimbo la Musoma Vijijini; jimbo ambao kwa sasa linaitwa Wilaya Butiama ndio waliomuomba.
Muhongo hawezi kufurukuta kwa Vincet Nyerere wa Musoma Mjini isitoshe hata kwa Nimrod Mkono atafanikiwa kuula wa chuia hasa pale Majita kwingineko mf. Kiabakari, Busegwe, Mazami, Buhemba, Butiama ataambulia patupu.
Funga kazi: Usilolijua na usiku wa Giza Ritz
Wakazi wengi wa Musoma Mjini wanaoneka kumkubali zaidi Prof Muhongo, kutoka utendaji wake wake katika Wizara ya Nishati na Madini..
...Ni waziri wa Nishati na madini lakini hajawawezesha kabisa wananchi wa Mara kufaidika na dhahabu ya North Mara...
Mpeni muda hata miezi sita hana toka rais amteue.
mhe. Profesa sospeter muhongo, ni mzaliwa wa musoma mjini. Ana haki ya kugombea.
Wanabodi..
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ambaye ni kada wa chama cha mapinduzi CCM ameombwa na wakazi Musoma Mjini kugombea ubunge jimboni humo mwaka 2015.
Profesa Sospeter Muhongo, ni msomi na mzaliwa wa Musoma Mjini wakazi wa mkoa Mara wanasema wakati umefika wa kumpa ubunge Profesa Muhongo, kutokana na elimu yake pamoja na uzoefu wake ili hawatumikie wananchi wa Mkoa wa Mara.
Jimbo la Musoma Mjini kwa sasa linaongozwa na chama cha Chadema kupitia mbunge wake Vicent Nyerere.
Wakazi wengi wa Musoma Mjini wanaoneka kumkubali zaidi Prof Muhongo, kutoka utendaji wake wake katika Wizara ya Nishati na Madini..
umedanganya!!!! huyu mtu ni mwenyeji wa musoma vijijini siyo mjini, kama anataka ubunge basi ajiandae kupambana na mbunge wa maisha mh mkono.
Musoma Mjini maeneo ya Mkendo Kati.
mijini watu wanahamia tu kwa ajili ya kazi, biashara nk mfano ukienda da slam utakuta watu kibao wenye asili ya maeneo mbalimbali wanaishi huko wamejenga majumba na wengine wanakufa na kuzikwa huko huko, lakini wale wenye hamu ya kugombea ubungei wanarudi kwenye majimbo ya asili zao.Wakati mwingine kama kitu hujui ni bora kukaa kimya kuliko kujidhalilisha kama hivi Prof. Muhongo kwao ni Musoma Mjini.
Mkendo kati ni sehemu ndogo sana ya Musoma mjini.Musoma Mjini maeneo ya Mkendo Kati.
una kila dalili ya kuwashwa, hakujawahi kuwa na mkutano , mwisenge, mkendo wala makoko sasa kama sio kuwashwa washwa anakosema mabumba ni nini?
Mbona wakazi wote wa Musoma Mjini wanafahaumu maeneo ya Mkendo, Kawawa, Uhuru, Mwigole.
Msiwe na tegemeo kuwa ataendelea kupata uwaziri baada ya kuwa mbunge wenu nyie wakurya; mfahamu kuwa baada ya katiba mpya kuanza kutumika baada ya uchaguzi wa 2015 ,mawaziri hawatatokana na wabunge tena!!! Huyu Muhongo ameweza kufanya anayofanya kwasababu hana bugudha za jimbo la uchaguzi!!!
mijini watu wanahamia tu kwa ajili ya kazi, biashara nk mfano ukienda da slam utakuta watu kibao wenye asili ya maeneo mbalimbali wanaishi huko wamejenga majumba na wengine wanakufa na kuzikwa huko huko, lakini wale wenye hamu ya kugombea ubungei wanarudi kwenye majimbo ya asili zao.