Bangi,mirungi na viroba
Laana ya roho mbaya na Dhulma
wachawi............
we endelea kuangalia meno tu....wenzio tunachojaliHivi kwanini wakazi wengi wa mkoa wa Kilimanjaro (Ingawa sio wote) wana meno ya brown na macho ya brown kama sio mekundu?.....
Hivi kwanini wakazi wengi wa mkoa wa Kilimanjaro (Ingawa sio wote) wana meno ya brown na macho ya brown kama sio mekundu?.....
Laana ya roho mbaya na Dhulma
Laana ya roho mbaya na Dhulma
Hivi kwanini wakazi wengi wa mkoa wa Kilimanjaro (Ingawa sio wote) wana meno ya brown na macho ya brown kama sio mekundu?.....
we endelea kuangalia meno tu....wenzio tunachojali
1. Pesa
2.Kurudi na mandinga ya maana home haswa december 25.
3.Kuweka moshi yetu katika hali usafi!! njoo tembelea moshi ujionee maajabu, mji msafiiiiii KAMA ULAYA VILE!!!
4. Na zaidi ya yote tunajivunia kuwa moja kati ya mikoa iliyoonye nia thabiti ya kutaka mabadiliko hasa katika uchaguzi wa mwaka huu!!!
SIKU UKIJA MOSHI USIJE LOGWA KUTUPA GANDA YA VOCHA AU KUTEMA MATE CHINI MAANA UTAPIGWA FAINI YA 50000/=!!!
BTW Ushajiuliza kwanini moshi mjini kuna benki nyingi sana tofati na mikoa mingine??
KARIBU SANA MOSHI MJI WA WAGUMU, WASAKA PESA!!!
teh teh teh wachaga mbele kwa mbele mtazidi kututukana kila aina ya matusi sisi tunasonga mbele. karibu machame
Laana ya roho mbaya na Dhulma
wachawi............