johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,995
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amempongeza mganga wa mkoa wa DSM kwa kufanikisha kuwanusuru wakazi milioni 3.7 na maradhi ya Mabusha na Matende
Ummy amesema zoezi la kuwamezesha Wananchi Dawa limesitishwa lakini limekuwa na mafanikio makubwa sana
Manispaa 2 na Kata 10 za mkoa wa DSM zimekunywa Dawa za Mabusha na Matende
Source Upendo TV
Ummy amesema zoezi la kuwamezesha Wananchi Dawa limesitishwa lakini limekuwa na mafanikio makubwa sana
Manispaa 2 na Kata 10 za mkoa wa DSM zimekunywa Dawa za Mabusha na Matende
Source Upendo TV