Wakazi wa mkoa wa Kilimanjaro!!

Wakazi wa mkoa wa Kilimanjaro!!

Laana ya roho mbaya na Dhulma

kama huna jibu ni bora ukakaa kimya kuliko kuionesha dunia aina ya malezi uliyo pata utotoni.JF ni sehemu watu hutafuta elimu kwahiyo ni wajibu wa kila mwanachama kuijengea heshima JF na siyo kukurupuka na kutoa majibu ya kitoto.
 
Hivi kwanini wakazi wengi wa mkoa wa Kilimanjaro (Ingawa sio wote) wana meno ya brown na macho ya brown kama sio mekundu?.....

maji ya mkoa wa kilimanjaro,Arusha na baadhi ya maeneo ya mkoa wa Morogoro yana madini yaitwayo FLORINE , madini haya ndio husababisha meno kubadilika rangi.kuna mchangiaji mmoja amesema CALCIUM, siyo kweli kwani Calcium ni muhimu sana katka kuimarisha meno na mifupa. sehemu kubwa sana ya mifupa ya binadamu ni calcium
 
Hivi kwanini wakazi wengi wa mkoa wa Kilimanjaro (Ingawa sio wote) wana meno ya brown na macho ya brown kama sio mekundu?.....

umesahau kuuliza kwanini ndiyo walikuwa watu wa kwanza kimaendeleo kabla ya wengine nchini.
kuhusu rangi ya meno na macho sio wote wapo hivyo kwasababu pamoja na maji kuchangia ipo katika mfumo wa genes za kila mmoja mmoja kama Kuna watu warefu na wafupi wapo na wanene na wembamba na weupe na weusi.
halafu isiwe naongea na mmoja wapo WA vijana wanaotuulia vikongwe wetu kwa imani potofu embu jitambulishe kwanza
 
Mleta mada aliyekutuma hapa ni sawa na huyo Ziro Rizimoko. Wakazi wa Kilimanjaro wana sababu ya kuwa na macho mekundu wakiwa kila mahali nchi nzima. Niwasifu kwa:
1. Kuwa wa kwanza kuamka na wa mwisho kulala Tanzania na popote walipo. Kujituma ndiyo chanzo.

1. Kuzalisha matajiri kila mikoa ya Tanzania.

1. Kuzalisha wasomi hasa madaktari na wahandisi kwa kuwa wachaga hawaogopi shule hasa hesabu. Kumbuka mchaga mmoja alimsaidia sana Mr.Ziro shule UDSM mpaka akaweza kumaliza sheria na Leo anawatukana social networks.

1. Kuzalisha wanawake imara na wachapakazi. Wanaowahi kuamka na kuchelewa kulala. Hongera sana mke wangu mama Furaha kwa juhudi zako tuko ndani ya matajiri kwa level yetu na kuitajirisha familia nzima kwa uhamasishaji wako. Kumbuka wamekupa jina la Malaika Mkombozi.

1. Wachaga na Kilimanjaro ya Maendeleo hakuna Nyumba ya nyasi. 99% makazi ni Nyumba za blocks, Umeme na maji. Mpaka maghorofa yako vijijini yamefunikwa na miti na migomba.

1. Kilimanjaro iliyosheheni mashule na hospital ambazo mnapeleka wagonjwa na Watoto wenu kusoma.

1. Nitaandika kitabu au encyclopedia kubwa mno ya Kilimanjaro. Ndiyo maana wavivu wote kama wewe mleta mada hamuachi kuisema Kilimanjaro ambayo tangu mwaka 1995 imekuwa ikijitegemea kwa kuwa serikali iliitenga kwa kuwa imekuwa kitovu cha mageuzi. Awamu ya NNE ilidhamiria kuifuta Kilimanjaro mpaka Watoto wa Mfalme wanakuwa na nguvu ya kutamka hadharani. Shame on You.

1. Hongereni sana mashemeji zangu wa Kilimanjaro. Dada yenu ni role model.

1. Nimeandika kwa kuweka moja kila mahali nikimaanisha yote na mengine ambayo sikuweka hapa ni priority.
 
Nyambafu mi nkafikiri unaleta ushauri na kuhimiza tuanze kujenga vitega uchumi vikubwa town. I mean tuchafue moshi na viberiti vya kutosha na sio roshen za kichoyo ziwe zenye kuduwaza, sas ngoja na KIA ipanuliwe tuanze shusha ndege kubwa za mizigo hapo tuigeuze kilimanjaro na arusha ziwe ulaya na sisi tutabaki kuwa walimu wenu kwenye maendeleo tuu maana hamna namna tena
 
Huyo mtoa mada ni zombiz afanye tathimin ya kiuchumi alf arudi na mada mpya zuzu kweli.
 
Back
Top Bottom