domokaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2010
- 3,545
- 1,719
Wakazi wa Ilaka Kota katika nyumba za NHC wamefukuzwa kama mbwa na kupewa fidia ya shilingi laki tatu baada ya kuwa wapangaji katika nyumba hizo kwa zaidi ya miaka arobaini.
Nyumba hizo ambazo zilijengwa kwa ajili ya watu wa kipato cha chini sasa zimeamriwa zivunjwe kupisha maendeleo ya watu wastaarabu na kuwaacha masikini hao raia wa Tanzania wasijue la kufanya.
Wanajamii, wanaharakati na taasisi za kushughulikia haki za binadamu angalieni suala hili kuona kama haki inakiukwa basi ipatikane kwa hawa wananchi masikini ambao walipewa fulana na t-shirt lakini sasa wananyanganywa moja ya hitaji kuu la banadamu ambalo ni malazi.
Nyumba hizo ambazo zilijengwa kwa ajili ya watu wa kipato cha chini sasa zimeamriwa zivunjwe kupisha maendeleo ya watu wastaarabu na kuwaacha masikini hao raia wa Tanzania wasijue la kufanya.
Wanajamii, wanaharakati na taasisi za kushughulikia haki za binadamu angalieni suala hili kuona kama haki inakiukwa basi ipatikane kwa hawa wananchi masikini ambao walipewa fulana na t-shirt lakini sasa wananyanganywa moja ya hitaji kuu la banadamu ambalo ni malazi.