Afisa Tabibu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 484
- 799
Twende kwenye mada, jaman watu wa Dar tabia hizi sio za kiungwana
1. Kumuona mwenzio anaibiwa au kupigwa nyie mnakaa pembeni kuangalia hamtoi msaada, huu sio uungwana
2. Mtu kukusalimia unamuangalia tu halafu humjibu au kumjibu kwa sauti ya chini hasa kwa wadada, kisa anaendesha guta, au hajavaa vizuri.
3. Utapeli, yaan hadi ndugu yako km yupo DSM akakuambia tuma pesa akufanyie manunuzi basi ujue kuna ugomvi mnakwenda kuutengeneza
4. Ubabe na kupandishiana, watu wa dar sio wanyenyekevu, kila mtu ni mbabe, unaweza kumakanyaga kwa bahati mbaya tu lakin akaja juu hata ukimuomba msamaha bado anaona km unamdhihaki
5. Kutoka kimapenz na mpenz wa rafiki yako, hii kwa wote wadada na wakaka, wanakula mashemeji mno.
6. Kila msaada lazima uombwe hela, yaan mtu anaweza kukusaidia kunyanyua kamzigo kadogo tu akimaliza utasikia nitoe basi....
7. Wanaume kumsaidia mdada hadi amle, yaan ukiona mwanaume wa dar anamsaidia mdada au mkeo, lift, vizawad ujue mwisho wake ataliwa, wanaume wa dar hawasaidii wadada hivi hivi
Ongeza zingine......
1. Kumuona mwenzio anaibiwa au kupigwa nyie mnakaa pembeni kuangalia hamtoi msaada, huu sio uungwana
2. Mtu kukusalimia unamuangalia tu halafu humjibu au kumjibu kwa sauti ya chini hasa kwa wadada, kisa anaendesha guta, au hajavaa vizuri.
3. Utapeli, yaan hadi ndugu yako km yupo DSM akakuambia tuma pesa akufanyie manunuzi basi ujue kuna ugomvi mnakwenda kuutengeneza
4. Ubabe na kupandishiana, watu wa dar sio wanyenyekevu, kila mtu ni mbabe, unaweza kumakanyaga kwa bahati mbaya tu lakin akaja juu hata ukimuomba msamaha bado anaona km unamdhihaki
5. Kutoka kimapenz na mpenz wa rafiki yako, hii kwa wote wadada na wakaka, wanakula mashemeji mno.
6. Kila msaada lazima uombwe hela, yaan mtu anaweza kukusaidia kunyanyua kamzigo kadogo tu akimaliza utasikia nitoe basi....
7. Wanaume kumsaidia mdada hadi amle, yaan ukiona mwanaume wa dar anamsaidia mdada au mkeo, lift, vizawad ujue mwisho wake ataliwa, wanaume wa dar hawasaidii wadada hivi hivi
Ongeza zingine......