kwenzi
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 669
- 665
Mie mkazi wa mkoani
Umeme wa buku huku unapata unit 8 wa jero unakuna unit 4 yani kwa mwezi umeme wa 3000 tu hapo frij inapiga kazi ita ya maji inakula mzigo mzik full time...
Nakumbuka nilipo kuwa naishi dar umeme kwa mwezi nilikuwa nalipa mpaka elfu 30 kwa mwez chumba kimoja tu..
Hiyo 30 elfu huku ni miezi kumi daaah mbwinde raha sana kuishi
Service line huku ni 177000 dar ni laki tatu na ushee
Maji kwa mwezi buku tu ya bomba nilipo kuwa naish dar ndoo moja ilikuwa buku..
Mbona naona kama kuna kaupendeleo nikiangalia kama maisha kukaza yanakaba kote kote
Umeme wa buku huku unapata unit 8 wa jero unakuna unit 4 yani kwa mwezi umeme wa 3000 tu hapo frij inapiga kazi ita ya maji inakula mzigo mzik full time...
Nakumbuka nilipo kuwa naishi dar umeme kwa mwezi nilikuwa nalipa mpaka elfu 30 kwa mwez chumba kimoja tu..
Hiyo 30 elfu huku ni miezi kumi daaah mbwinde raha sana kuishi
Service line huku ni 177000 dar ni laki tatu na ushee
Maji kwa mwezi buku tu ya bomba nilipo kuwa naish dar ndoo moja ilikuwa buku..
Mbona naona kama kuna kaupendeleo nikiangalia kama maisha kukaza yanakaba kote kote