KERO Wakazi wa DAR, PWANI na MORO wasaka maji mabondeni

KERO Wakazi wa DAR, PWANI na MORO wasaka maji mabondeni

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

PureView zeiss

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2016
Posts
13,294
Reaction score
42,808
CHADEMA wajanja sana wameshirikiana na jua pamoja wanaharakati kutoka nje kukukasha vyanzo vya maji ili ionekane mama hapendwi ila UVCCM😂

Haiwezezekani wazungu watuonee wivu Kwa rasilimali zetu Hadi watutengenezee mgao wa maji, Sisi kama watanzania tuungane kwa pamoja ili kuwakataa hawa wanaotuchonganisha hiki ndicho kipindi cha viongozi wa dini Kwa pamoja kutoa kauli juu ya Hali hii ya mgao wa maji.

20251214_120903.jpg
20251212_195524.jpg
 
CHADEMA wajanja sana wameshirikiana na jua pamoja wanaharakati kutoka nje kukukasha vyanzo vya maji ili ionekane mama hapendwi ila UVCCM😂
Haiwezezekani wazungu watuonee wivu Kwa rasilimali zetu Hadi watutengenezee mgao wa maji , Sisi kama watanzania tuungane Kwa pamoja ili kuwakataa hawa wanaotuchonganisha hiki ndicho kipindi cha viongozi wa dini Kwa pamoja kutoa kauli juu ya Hali hii ya mgao wa maji.
View attachment 3515421 ni View attachment 3515422
Maji ni kero kubwa aisee,ukanda wa tegeta,ununio, kunduchi,patupu inaenda mwezi sasa
 
Huu uzi sisi CCM hatuchangii, ila tutawatuma masheikh wetu waje kuomba dua ya mvua.....Mvua hakuna mnataka Samia afanyaje??😆😆😆😆
 
Kuweni wapole raia, serikali yenu inaandaa hadidu za rejea ili kuja andiko la mpango mkakati, la namna ya kutatua hii kero.
 
Hivi kwa nini lawama hapewi tena Bwana Hayati kuwa ujenzi wa lile bwawa ndiyo chanzo cha huu mgao!!
Ukweli hujitenga na uongo.
Wakijaribu Sana kumchafua taswira yake. Imeshindikana.
Ukweli unaonekana wazi kwamba alitatua keep nyingi ambazo Sasa zimerudi kama enzi za kabla ya awamu yake au zaidi.
 
Mange Kimambi anaroho mbaya sana, ameamua kutukomoa akakausha maji.

Kikubwa Amani ipo
CHADEMA wajanja sana wameshirikiana na jua pamoja wanaharakati kutoka nje kukukasha vyanzo vya maji ili ionekane mama hapendwi ila UVCCM😂
Haiwezezekani wazungu watuonee wivu Kwa rasilimali zetu Hadi watutengenezee mgao wa maji , Sisi kama watanzania tuungane Kwa pamoja ili kuwakataa hawa wanaotuchonganisha hiki ndicho kipindi cha viongozi wa dini Kwa pamoja kutoa kauli juu ya Hali hii ya mgao wa maji.
View attachment 3515421View attachment 3515422
 
CHADEMA wajanja sana wameshirikiana na jua pamoja wanaharakati kutoka nje kukukasha vyanzo vya maji ili ionekane mama hapendwi ila UVCCM😂
Haiwezezekani wazungu watuonee wivu Kwa rasilimali zetu Hadi watutengenezee mgao wa maji , Sisi kama watanzania tuungane Kwa pamoja ili kuwakataa hawa wanaotuchonganisha hiki ndicho kipindi cha viongozi wa dini Kwa pamoja kutoa kauli juu ya Hali hii ya mgao wa maji.
View attachment 3515421View attachment 3515422
Hivi hawawezi kuyazuia haya maji yanayoenda baharini kama Mto Rufiji,wafanye kama walivyofanya kwenye kujenga Bwawa la umeme halafu haya maji yaelekezwe Daresalam?
 
Hivi hawawezi kuyazuia haya maji yanayoenda baharini kama Mto Rufiji,wafanye kama walivyofanya kwenye kujenga Bwawa la umeme halafu haya maji yaelekezwe Daresalam?
Hadi apatikane RAISI mzalendo
 
CHADEMA wajanja sana wameshirikiana na jua pamoja wanaharakati kutoka nje kukukasha vyanzo vya maji ili ionekane mama hapendwi ila UVCCM😂

Haiwezezekani wazungu watuonee wivu Kwa rasilimali zetu Hadi watutengenezee mgao wa maji, Sisi kama watanzania tuungane kwa pamoja ili kuwakataa hawa wanaotuchonganisha hiki ndicho kipindi cha viongozi wa dini Kwa pamoja kutoa kauli juu ya Hali hii ya mgao wa maji.

View attachment 3515421View attachment 3515422
CHADEMA wajanja sana wameshirikiana na jua pamoja wanaharakati kutoka nje kukukasha vyanzo vya maji ili ionekane mama hapendwi ila UVCCM😂
Na mfadhili ni ford foundation!
1765710028562.jpg
 
Hivi kwa nini lawama hapewi tena Bwana Hayati kuwa ujenzi wa lile bwawa ndiyo chanzo cha huu mgao!!
Kitambo sana bonde la mto kide kuna kinyesi cha kutosha nimeishi ubungo kibangu mwishoni mwa miaka ya tisini
1995- 2000
 
Back
Top Bottom