PostGE2025 Wakazi: Majizo "usijipe umuhimu"

PostGE2025 Wakazi: Majizo "usijipe umuhimu"

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

ChekoFagia

Senior Member
Joined
Sep 20, 2025
Posts
115
Reaction score
339
Msanii wa muziki wa Hip Hop Tanzania Wakazi amemjibu Mkurugenzi wa kituo cha Habari cha efmradio Majizzo baada ya Majizzo kuzungumza leo Desemba 11 na kuwaombea msamaha kwa wananchi juu ya kinachoendelea juu ya wasanii na mashabiki zao.
1765437006408.jpeg
 
Dogo Majizo alikuwa wapi Diamond anawa kejeri watanzania kwamba ni watu wa kulalamika tu kila regime
 
Huyo Majizo ni mnufaika wa Tasnia ya Entertainment kwahio vita dhidi ya wasanii inamuathiri biashara yake na ametumia busara kurudi kwa wananzengo sababu ya survival ya Industry....

Kwahio nadhani ni mdau wa Industry na alichofanya ni busara na mimi kama mlaji wa Kazi za wasanii ni bora kuwa na wasanii than lack of....
 
Majizo hujiona ni Ruge mpya hivi. Kwanza hasira za raia sio wasanii kushiriki siasa. Tatizo ni kushindwa kukemea maovu ya kutisha kwa raia kama utekwaji na mauaji na mbaya zaidi 29th October hawakukemea kabisa zaidi ya misamaha ya kinafiki. Waliposhindwa kote wangekaa kimya tu. Wasanii wengine wakaenda mbali kutishia raia waliotaka maandamano, wengine wakaita raia wavivu na walalamishi.

Mimi siwezi kuwasamehe hawa wahuni, wabinafsi. Hizo nyimbo zao wasikilize na wake zao na hao waliokuwa wanawasapoti na kupuuza sauti za umma.
 
Wakazi hamna mziki wa maana anatumia kik ,bado mshamba wala hana jina..Mlifikiria hizo riziki mnatoa nyie..Serikali haramu huko kwenu huku mambo yanaenda...Wakazi hii ni nafasi yake ya kwenda mjini kwa vile hana jipya.
 
Hii maana yake ni nini?
Faida ya Entertainment kwa Individual na Jamii kwa Ujumla
  • stress relief, improved mood, and better mental health
  • providing escape and joy;
  • enhances social connections through shared experiences,
  • boosts creativity, provides cognitive stimulation,
  • teaches empathy, and promotes cultural understanding. (kama wanajamii husika watakuwa na busara kuitumia positively na sio otherwise)
 
Faida ya Entertainment kwa Individual na Jamii kwa Ujumla
  • stress relief, improved mood, and better mental health
  • providing escape and joy;
  • enhances social connections through shared experiences,
  • boosts creativity, provides cognitive stimulation,
  • teaches empathy, and promotes cultural understanding. (kama wanajamii husika watakuwa na busara kuitumia positively na sio otherwise)
Hiyo "entertainment" si inaendeshwa na "entertainers" na jee hao entertainers hawana wajibu kwa jamii.

Watu wanawezaje kuburudishwa na wasanii wanaowatukana na kuwadharau?
 
Back
Top Bottom