ChekoFagia
Senior Member
- Sep 20, 2025
- 115
- 339
Msanii wa muziki wa Hip Hop Tanzania Wakazi amemjibu Mkurugenzi wa kituo cha Habari cha efmradio Majizzo baada ya Majizzo kuzungumza leo Desemba 11 na kuwaombea msamaha kwa wananchi juu ya kinachoendelea juu ya wasanii na mashabiki zao.