Wakazi adai alikuwa anafanya kazi kwa Donald Trump

Acheni majungu yeye kaongea ukweli wa maisha yake. Na hapo angefanya kujikweza bado wabongo mngepiga majungu. Sijui wabongo mmeumbwa na nini nyinyi mbwa. Madogo acheni majungu.
 
Sijaelewa mimi au mwandishi na Wakazi. Trump kaja mara moja tu wakati wa ufunguzi wa hotel. Harafu tena anapenda kusoma mgzeti, anampelekea kila asubuhi chumbani kwake. Naomba mniwekesawa wenzangu.
Mkuu wewe ni mgeni na story za wabeba box?
 
Kushake hands hapendi na MTU mweusi tuu au vipi? Maana sahizi anashake hands kwa mwendokasi
 
hebu nieleweshe vizur, kuna mahali pananichanganya kwny haka kastori! upelekaji wa magazeti na kufika hotelini mara moja tu! sijaelewa
Watu wengi hamjamuelewa huyu kijana. Nafikiri amemaanisha kwenye hiyo Hotel (Trump Tower) huyo Bilionea Trump alionekana siku moja tu siku ya ufunguzi....lakini mara kwa mara hao matajiri wamiliki wa hizo Hotels huwa wana Presidential Suites katika Hotels zao na pia huwa wanatumia Private Entry/Exit na Private Elevator. Kwa hiyo sio rahisi kuonekana mara kwa mara. Anaweza akawepo hapo Hotelini na hakuna hata mfanyakazi atakayejua isipokuwa watu wake wa karibu.

Kwa hiyo huyo kijana inawezekana yuko sahihi na hizo kauli zake. Au labda alikuwa anamaanisha Alionekana mubashara siku ya ufunguzi tu.
 
Wivu wako umekufanya uone ni issue... Jamaa kazungumzia tajriba yake, akiwa 'mfungua mlango' wewe unaleta mbofumbofu zenye wivu ndani yake.

Mkuu umenene vema tu.Jamaa kaongea hadithi zake aliko tokea.Mbona Yule dogo anaye fanya kazi kwenye taasisi ya Bill Gate(YouTube) alielezea alikuwa anafagia choo alivyo kuwa shule ya Northwestern kule Chicago Na Leo anajielewa.
 
Trumph yupi au lile sanamu
images
 
Back
Top Bottom