Wakatoliki washindwa kula mbuzi katoliki

Wakatoliki washindwa kula mbuzi katoliki

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
6,447
Reaction score
11,504
Nimepenyezewa hapa habari za ukweli kabisaa na mtu aliekua kwenye press ya wakatoliki leo, naskia nyuma ya camera kuna mtu si akaleta bwana sinia la mbuzi katoliki na ndizi kama kuwashkuru wakatoliki kuungana.

Naskia bwana wale jamaa wengi wao wakasema wao dini yao hairuhisu kula MBUZI KATOLIKI

sasa hapa najiuliza hawa ni wakatoliki wa sampuli gani.
 
Nimepenyezewa hapa habari za ukweli kabisaa na mtu aliekua kwenye press ya wakatoliki leo, naskia nyuma ya camera kuna mtu si akaleta bwana sinia la mbuzi katoliki na ndizi kama kuwashkuru wakatoliki kuungana.

Naskia bwana wale jamaa wengi wao wakasema wao dini yao hairuhisu kula MBUZI KATOLIKI

sasa hapa najiuliza hawa ni wakatoliki wa sampuli gani.
Akina Mohammed na mwajuma walikua wengi miongoni mwao
 

Attachments

  • 20260103_125601.jpg
    20260103_125601.jpg
    160.4 KB · Views: 10
wakati wanatoa press pale kulikuwa na harufu za mwananyamara,magomeni bondeni,buza kwa mparange na mavi yake,kigogo sambusa, vingunguti kiembe mbuzi,mbagara kizuka.
 
Back
Top Bottom