Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,883
- 2,765
- Thread starter
- #61
Dah, hayaWamisionari hawakutumia vipaza sauti na bado walifikisha Injili hadi Karema mkoani Katavi
Dah, hayaWamisionari hawakutumia vipaza sauti na bado walifikisha Injili hadi Karema mkoani Katavi
Jana nilibadirisha channel yule dada sijui ni sister sijui ni kateksta alikua anaongea kuhusu watoto kawasagia Kunguni watoto, anahimiza nini km sio ukatiri kwa watoto? Yaan anawahimiza wazazi wawakatiri watoto wao. Nikabadiri channel nikaenda kusikiliza bolingo na maombolezo ya Mwinyi channel gani sijui, alinivuruga sana content maandalizi pia wasiongee ongee tu km wapo kwenye vibaraza vyao wajue watu tupo huku tunawasikilizaWatu/waumini wanataka content.
Acha uongo wewe hiv unaijua vizuri historia ya ulimwengu? Huo uyahudi hauna sifa ya kuwa dini pekee kongwe maana kabla yake kulikuwepo dini kongwe zaid ambazo kibongobongo ama Afrika hatuzijui kwa sababu hatukutawaliwa na hawa jamaa wa hizo dini basi hatufahamu data za dini zao ambazo ni kongwe kuliko hata hizi tulizoletewanijikite kwenye ukongwe hapo, hakuna wakongwe kwenye dini kama Wayahudi, wao wamekuwa waaminifu kwenye dini mno, lakini dini haijawaokoa, wanakufa na wanaenda motoni kwasababu ni kwa kutumia dini hiyohiyo walimsumbua sana Yesu na waliwauwa mitume waliosambaza hata huu ukristo. Cha msingi, tuishi tukijua kwamba, dini haiokoi, Biblia inasema tunatakiwa kuokoka. kwa kua ukimkiri Yesu kwa kinywa chako na kuamini moyoni kwamba Mungu alimfufua katika wafu utaokoka, kwa moyo mtu huamini na kwa kinywa hukiri. tunatakiwa kuokoka, hizi dini ni NGOs tu ambazo tena zimesajiliwa kabisa kwenye secular government hiihii na zinaweza kufutwa au kurekebishwa, ila njia ya wokovu kwa Yesu Kristo ni moja tu, kuokoka ni lazima.
Mimi ni Mkatoliki Niliyebatizwa na kupokea kipaimara mwaka 1996.Ukweli ni kwamba nipo home naperuzi stesheni za TV. Ukija clouds unakutana na chomoza, ukurudi chanel ten yupo Mwamposa. TVE yupo kuhani Musa. Wasafi yupo tena Mwamposa. Naperuzi zaidi nakutana na Upendo TV ya walutheri. Sasa Jumapili natoka kanisani kazi yangu ni kutazama maudhui ya madhehebu mengine tu? TV tumaini mmeshindwa kuingia DStv? Hata hivyo content mnazo?
Ukirudi kwenye redio ni yaleyale. Usiku redio zote zimeshikwa na hawa walokole. Namaanisha almost zote, tena hadi alfajiri. Ukija redio Tumaini na redio Maria ni sala %80. Hivi, ni nani anakaa au yuko nyumbani aache kufanya pilika za nyumani atulie kufuatilia sala redioni? Hata hao wanaoongoza sala redioni wametulia sehemu. Badilikeni
Waumini wakitoroka msiwalaumu. Kanisa katoliki ni kongwe kweli ila ifike sehemu mabadiliko, hasa kwenye uinjilishaji yawepo. Watu/waumini wanataka content.
Kanisa halijakosa waumini wenye karama za kuhubiri. Kwa nini wasipewe nafasi kwenye media? Kanisa halijakosa waumini wenye uwezo bunifu kwenye vipindi/maudhui. Mnatengeneza mazingira gani kuwawezesha hawa.
Niishie hapa kwa leo.
FACT.Ukweli ni kwamba nipo home naperuzi stesheni za TV. Ukija clouds unakutana na chomoza, ukurudi chanel ten yupo Mwamposa. TVE yupo kuhani Musa. Wasafi yupo tena Mwamposa. Naperuzi zaidi nakutana na Upendo TV ya walutheri. Sasa Jumapili natoka kanisani kazi yangu ni kutazama maudhui ya madhehebu mengine tu? TV tumaini mmeshindwa kuingia DStv? Hata hivyo content mnazo?
Ukirudi kwenye redio ni yaleyale. Usiku redio zote zimeshikwa na hawa walokole. Namaanisha almost zote, tena hadi alfajiri. Ukija redio Tumaini na redio Maria ni sala %80. Hivi, ni nani anakaa au yuko nyumbani aache kufanya pilika za nyumani atulie kufuatilia sala redioni? Hata hao wanaoongoza sala redioni wametulia sehemu. Badilikeni
Waumini wakitoroka msiwalaumu. Kanisa katoliki ni kongwe kweli ila ifike sehemu mabadiliko, hasa kwenye uinjilishaji yawepo. Watu/waumini wanataka content.
Kanisa halijakosa waumini wenye karama za kuhubiri. Kwa nini wasipewe nafasi kwenye media? Kanisa halijakosa waumini wenye uwezo bunifu kwenye vipindi/maudhui. Mnatengeneza mazingira gani kuwawezesha hawa.
Niishie hapa kwa leo.
ni kweli, shetani alishaanza kitamb na hizo dini zake, ndio maana hata Mungu alitoa amri mojawapo kwamba usiwena miungu mingine ila mimi, manake watu walikuwa na imani kwa miungu mingine tangu zamani sana. hilo halina ubishi, ila mimi nililenga kwenye dini inayomtaja Mungu wa kweli. Melkizedeki mfalme wa salem hakuwa myahudi, na alikuwa ni kuhani wa Mungu aliye juu, hadi Ibrahim alimtolea fungu la kumi, hii inamaanisha sio wayahudi pekee walikuwa wa kwanza kumwabudu huyu Mungu wa kweli ambaye walikija kubahatika kuingia naye maagano makubwa mno yanayowasaidia hadi leo, imani ya Ibrahim ili wabeba.Acha uongo wewe hiv unaijua vizuri historia ya ulimwengu? Huo uyahudi hauna sifa ya kuwa dini pekee kongwe maana kabla yake kulikuwepo dini kongwe zaid ambazo kibongobongo ama Afrika hatuzijui kwa sababu hatukutawaliwa na hawa jamaa wa hizo dini basi hatufahamu data za dini zao ambazo ni kongwe kuliko hata hizi tulizoletewa
Top 10& The most Oldest Religions in the world are
👉1. Hinduism (founded around the 15th- 5th century BCE)
👉2. Zoroanistrianism (found around 10th -5th centyry BCE)
👉3. Yazdânism
👉4. Judaism (found around 9th- 5th century BCE)
👉5. Jainism
👉6. Confucianism
👉7. Buddhism
👉8. Taoism
👉9. Shintoism (3rd century BCE - 8th century CE)
👉10. Christian
Mnaona sasa na hapo bado hatujachimbuachimbua zile dini kongwe zaidi ambazo ndizo mizizi ya hizi dini mpya kongwe kidogo zilizocopy hadith na stories na kuunda dini mpya, mfano the oldest faith civilization of kemet ndio iliyozaa hizo takataka zingine zinazoitwa dini ambazo ndizo zilicopy huko karibia 90% ya stories kwa kubadiri striptures na characters ili kuunda hizo ngonjera za kidini.
Kiuhalisia na kiukweli ukifuatilia historia kiuhalali hizi dini za kiyahudi sijui ukristo na uislam hawa hata Top 20 hawawezi kuwepo katika dini kongwe na zenye ukweli kidogo maana hizi ni dini zilizoanzishwa juzi tu hapo na kabla yao kuna mamia ya imani na dini zilishakuwepo na bado zipo.
Tujitahidi kusoma na kuwa makini tunapotoa komenti humu adharan ili kuepusha aibu ndogondogo za kudanganya watu pia ni vizuri kuwa makini kwa heshima ya JF kwamba ina Great thinkers,
Mkuu unajua ugumu wa Kusali rozari mtu unapokuwa mwenyewe....?Kwenye radio maria mwenyewe nashangaaga sana, like how mtu afungulie radio ili asali,
Kama nataka kusali nazima kila kitu nakaa comfortable alone nasali sio nianze kusikiliza radio mara mitambo iingilia niahirishe,
Wajaribu kujikita kwenye kuufundisha ukatoliki, na kutoa neno kwa kufuata ukatoliki ,
Wapunguze unnecessary sala kwa radio, hakuna anaesikiliza
Mapadre ni watu waliosoma sana. Sana. Hivyo wanajua vitu vingi kuhusiana na humanity. Wanapohubiri huwa wanahubiri kimkakati sana ili wasivuke mipaka. Tofauti na hawa wahubiri ambao huwa wanapandwa na mizuka na kuanza kushusha vifungu vya biblia kama hawana akili.Mimi ni Mkatoliki Niliyebatizwa na kupokea kipaimara mwaka 1996.
Nilijifunza Imani ya kikatoliki nikiwa Mtu mzima.
Hivyo naijua vizuri.
Lakini pia nimejifunza habari za Neno la Mungu kupitia majukwa mbali mbali ya Biblia na Injili.
Naweza kusema kuwa ktk nyanja ya Elimu Kuhusu Neno la Mungu Kanisa Katoliki Linapwaya sana.
Wale Mapadre na Maaskofu tunaoamini wamesoma sana inawezekana kuna vitu vingine wamesoma lakini sio Neno la Mungu.
Maana sioni wamebobea kwenye nini.
kitu kikubwa sana kanisa lilipoteza, ni Roho Mtakatifu. katika maisha yako usije hata siku moja ukafikiri kuhubiri kwa kutumia kiwango cha elimu, ufahamu wa mambo mengi, kuhubiri kwa kutumia akili zako za mwili n.k kama kunaokoa, elimu ya duniani haiokoi, wala hekima ya kibinadamu haiokoi hata uwe mzuri vipi kwenye public speech maneno yako hayana uwezo kuokoa, kama hayasemwa na Roho Mtakatifu ndani yako, ingekuwa hivyo wala tusingeenda kanisani, maprofesa wasingeenda kwasababu tayari tuna elimu ya kutosha ya kuishi na tunajua mambo mengi mno kuliko hata wanaotuhubiria, au badala ya kuhubiriwa tungeenda tu kwa wanasaikolojia au washauri au watu wenye elimu, au wengine wana uelewa wa dunia wa chin mno kuliko sisi wasingestahili kutuhubiria, hata hao mapadre wapo tuliowazidi elimu wengi mno na uelewa tumewazidi.Mapadre ni watu waliosoma sana. Sana. Hivyo wanajua vitu vingi kuhusiana na humanity. Wanapohubiri huwa wanahubiri kimkakati sana ili wasivuke mipaka. Tofauti na hawa wahubiri ambao huwa wanapandwa na mizuka na kuanza kushusha vifungu vya biblia kama hawana akili.
Wako mapadre wahubiri/wainjilishaji. Akisimama jukwaani au mimbarini hungependa atoke hapo. Mmojawapo ni yule padre wa kihaya (jina limenitoka).
Matika kuhubiri, mapadre huangazia pia literature, kwamba kwa mfano ni kwa nini Yesu alipokuja waisraeli hawakumwelewa na walimkataa.
Sasa kati ya haya mengi wayajuayo wangekuwa wanatumegea zaidi pia kupitia media zingine. Si lazima kwa njia ya mahubiri
Andiko zuri. Pia sijasema mapadre hawana roho Mt. Nakumbuka mch. Kimaro aliwahi kusema Padre mmoja ni wahubiri 1000. Kwa lugha nyingine wanayo ya ziada kuwashinda hao wanaoibuka kama uyoga. Pia Roho Mt. Hayupo kwenye kuhubiri tu. Ndio maana yapo mapaji 7 ya Roho Mt; hekima, akili, shauri, nguvu, elimu, ibada, na uchaji wa Mungukitu kikubwa sana kanisa lilipoteza, ni Roho Mtakatifu. katika maisha yako usije hata siku moja ukafikiri kuhubiri kwa kutumia kiwango cha elimu, ufahamu wa mambo mengi, kuhubiri kwa kutumia akili zako za mwili n.k kama kunaokoa, elimu ya duniani haiokoi, wala hekima ya kibinadamu haiokoi hata uwe mzuri vipi kwenye public speech maneno yako hayana uwezo kuokoa, kama hayasemwa na Roho Mtakatifu ndani yako, ingekuwa hivyo wala tusingeenda kanisani, maprofesa wasingeenda kwasababu tayari tuna elimu ya kutosha ya kuishi na tunajua mambo mengi mno kuliko hata wanaotuhubiria, au badala ya kuhubiriwa tungeenda tu kwa wanasaikolojia au washauri au watu wenye elimu, au wengine wana uelewa wa dunia wa chin mno kuliko sisi wasingestahili kutuhubiria, hata hao mapadre wapo tuliowazidi elimu wengi mno na uelewa tumewazidi.
Siku ya Pentecost Petro ambaye alikuwa mvuvi tu, alisimama akahubiri watu 3000 wakaokoka, alikuwa hajawahi kufanya jambo kubwa la kiwango kile kabla, kwasababu alijawa na Nguvu za Roho Mtakatifu, hivyo aliyekuwa anahubiri sio Petro, ni Roho Mtakatifu akimtumia Petro kama chombo tu. Mhubiri unachotakiwa ni kusafisha moyo wako sawasawa na vile tunavyosafisha sahani ili itumiwe kwa chakula, wewe unasafisha moyo ili Mungu akutumie kama chombo tu.
Sauti iliyochanganywa na Roho Mtakatifu ina Nguvu za kupasua hata miamba iliyopo moyoni, hata tone moja tu la Roho Mtakatifu likikugusa linaleta badiliko, Roho Mtaktifu ni mafuta, ni mhuri ambao akiongea kwa yeyote aliyekutana naye ni kama mhuri umepigwa, na yeye ndiye anayebadilisha mioyo, ndiye anayeokoa. watu mbona wameanza kusikia mahubiri miaka nenda rudi ila hawabadiliki? ni kwa sababu maneno matupu ya watu hayaokoi, hayabadilishi hata ufanyeje, ila Nguvu za Mungu zikiwepo kwa mhubiri ndizo zinazo hukumu na kubadilisha na kuokoa. wachache wataelewa ufunuo huu.
Tuhuma zako ni nzito sana ila andiko lako linahitaji maswali.Roho mtakatifu ni nini au ni nani?Je ili andiko lako uliloweka hapa umeongozwa na Roho mtakatifu?kitu kikubwa sana kanisa lilipoteza, ni Roho Mtakatifu. katika maisha yako usije hata siku moja ukafikiri kuhubiri kwa kutumia kiwango cha elimu, ufahamu wa mambo mengi, kuhubiri kwa kutumia akili zako za mwili n.k kama kunaokoa, elimu ya duniani haiokoi, wala hekima ya kibinadamu haiokoi hata uwe mzuri vipi kwenye public speech maneno yako hayana uwezo kuokoa, kama hayasemwa na Roho Mtakatifu ndani yako, ingekuwa hivyo wala tusingeenda kanisani, maprofesa wasingeenda kwasababu tayari tuna elimu ya kutosha ya kuishi na tunajua mambo mengi mno kuliko hata wanaotuhubiria, au badala ya kuhubiriwa tungeenda tu kwa wanasaikolojia au washauri au watu wenye elimu, au wengine wana uelewa wa dunia wa chin mno kuliko sisi wasingestahili kutuhubiria, hata hao mapadre wapo tuliowazidi elimu wengi mno na uelewa tumewazidi.
Siku ya Pentecost Petro ambaye alikuwa mvuvi tu, alisimama akahubiri watu 3000 wakaokoka, alikuwa hajawahi kufanya jambo kubwa la kiwango kile kabla, kwasababu alijawa na Nguvu za Roho Mtakatifu, hivyo aliyekuwa anahubiri sio Petro, ni Roho Mtakatifu akimtumia Petro kama chombo tu. Mhubiri unachotakiwa ni kusafisha moyo wako sawasawa na vile tunavyosafisha sahani ili itumiwe kwa chakula, wewe unasafisha moyo ili Mungu akutumie kama chombo tu.
Sauti iliyochanganywa na Roho Mtakatifu ina Nguvu za kupasua hata miamba iliyopo moyoni, hata tone moja tu la Roho Mtakatifu likikugusa linaleta badiliko, Roho Mtaktifu ni mafuta, ni mhuri ambao akiongea kwa yeyote aliyekutana naye ni kama mhuri umepigwa, na yeye ndiye anayebadilisha mioyo, ndiye anayeokoa. watu mbona wameanza kusikia mahubiri miaka nenda rudi ila hawabadiliki? ni kwa sababu maneno matupu ya watu hayaokoi, hayabadilishi hata ufanyeje, ila Nguvu za Mungu zikiwepo kwa mhubiri ndizo zinazo hukumu na kubadilisha na kuokoa. wachache wataelewa ufunuo huu.
Uko sawa sana. Mimi ni mkatoliki na hili unalolisema nalielewa sana. Mambo yote yenye ushahabiano na nguvu ya Roho mtakatifu ni kama hayapewi nafasi katika kanisa letu. Mmoja alitangulia kuandika hapa miujiza haina maana. Sasa unajiuliza ni kwa namna gani utageuza mioyo ya wasio ifahamu nguvu ya Mungu usipotenda mambo makuu ya Mungu. Kwa kweli tukaze kuliombea kanisa maana ni wengi wanaangamia kwa kutokuamini nguvu ya Roho mtakatifu. Mathayo 13:58 utaona Yesu hakufanya mujica wowote nyumbani kwao kwa sababu hawakuamini. Nadhan sababu kama hiyo inaweza kuwa ndio sababu kwa nini hatuoni ishara kubwa na nyingi ambazo Roho mtakatifu anaweza kufanya kupitia watakatifu wake.kitu kikubwa sana kanisa lilipoteza, ni Roho Mtakatifu. katika maisha yako usije hata siku moja ukafikiri kuhubiri kwa kutumia kiwango cha elimu, ufahamu wa mambo mengi, kuhubiri kwa kutumia akili zako za mwili n.k kama kunaokoa, elimu ya duniani haiokoi, wala hekima ya kibinadamu haiokoi hata uwe mzuri vipi kwenye public speech maneno yako hayana uwezo kuokoa, kama hayasemwa na Roho Mtakatifu ndani yako, ingekuwa hivyo wala tusingeenda kanisani, maprofesa wasingeenda kwasababu tayari tuna elimu ya kutosha ya kuishi na tunajua mambo mengi mno kuliko hata wanaotuhubiria, au badala ya kuhubiriwa tungeenda tu kwa wanasaikolojia au washauri au watu wenye elimu, au wengine wana uelewa wa dunia wa chin mno kuliko sisi wasingestahili kutuhubiria, hata hao mapadre wapo tuliowazidi elimu wengi mno na uelewa tumewazidi.
Siku ya Pentecost Petro ambaye alikuwa mvuvi tu, alisimama akahubiri watu 3000 wakaokoka, alikuwa hajawahi kufanya jambo kubwa la kiwango kile kabla, kwasababu alijawa na Nguvu za Roho Mtakatifu, hivyo aliyekuwa anahubiri sio Petro, ni Roho Mtakatifu akimtumia Petro kama chombo tu. Mhubiri unachotakiwa ni kusafisha moyo wako sawasawa na vile tunavyosafisha sahani ili itumiwe kwa chakula, wewe unasafisha moyo ili Mungu akutumie kama chombo tu.
Sauti iliyochanganywa na Roho Mtakatifu ina Nguvu za kupasua hata miamba iliyopo moyoni, hata tone moja tu la Roho Mtakatifu likikugusa linaleta badiliko, Roho Mtaktifu ni mafuta, ni mhuri ambao akiongea kwa yeyote aliyekutana naye ni kama mhuri umepigwa, na yeye ndiye anayebadilisha mioyo, ndiye anayeokoa. watu mbona wameanza kusikia mahubiri miaka nenda rudi ila hawabadiliki? ni kwa sababu maneno matupu ya watu hayaokoi, hayabadilishi hata ufanyeje, ila Nguvu za Mungu zikiwepo kwa mhubiri ndizo zinazo hukumu na kubadilisha na kuokoa. wachache wataelewa ufunuo huu.
Mkuu kama unaangalia miujiza utapotea maana MiujiA ya Kileo haitoki kwa Mungu.Uko sawa sana. Mimi ni mkatoliki na hili unalolisema nalielewa sana. Mambo yote yenye ushahabiano na nguvu ya Roho mtakatifu ni kama hayapewi nafasi katika kanisa letu. Mmoja alitangulia kuandika hapa miujiza haina maana. Sasa unajiuliza ni kwa namna gani utageuza mioyo ya wasio ifahamu nguvu ya Mungu usipotenda mambo makuu ya Mungu. Kwa kweli tukaze kuliombea kanisa maana ni wengi wanaangamia kwa kutokuamini nguvu ya Roho mtakatifu. Mathayo 13:58 utaona Yesu hakufanya mujica wowote nyumbani kwao kwa sababu hawakuamini. Nadhan sababu kama hiyo inaweza kuwa ndio sababu kwa nini hatuoni ishara kubwa na nyingi ambazo Roho mtakatifu anaweza kufanya kupitia watakatifu wake.
Kuna wakati naona kanisa limejikita kwenye doctrine za kanisa kuliko ukuu wa Yesu kitu ambacho kwa sehemu huenda tunamuudhi sana Mungu
kwa bahati mbaya sana, ni neno gumu nitakuambia, linakwaza na kuonyesha kama vile najiinua au labda natukana watu au nabeza imani za watu, ila dawa hata kama ni chungu ni muhimu kuinywa. MAPADRE HAWANA ROHO MTAKATIFU, KWASABABU HAWAJAOKOKA NA HAWAAMINI KUOKOKA.Andiko zuri. Pia sijasema mapadre hawana roho Mt. Nakumbuka mch. Kimaro aliwahi kusema Padre mmoja ni wahubiri 1000. Kwa lugha nyingine wanayo ya ziada kuwashinda hao wanaoibuka kama uyoga. Pia Roho Mt. Hayupo kwenye kuhubiri tu. Ndio maana yapo mapaji 7 ya Roho Mt; hekima, akili, shauri, nguvu, elimu, ibada, na uchaji wa Mungu
dawa pekee kwa kanisa katoliki NI KULIKIMBIA, vua viatu vyako kama unaona vinakuchelewesha, kimbia hata peku mbio nyingi sana, ukibaki hapo hautakuja kumwona Mungu kamwe. kwasababu ni kanisa ambalo awali lilianza vizuri, lakini hapo katikati lilipokuja kuingiliwa na serikali likabadilisha kila kitu. ukichukua kanisa la mitume wale wa Kitabu cha Matendo weka upande huu, na upande ule weka kanisa katoliki (ambalo mnasema ni la mitume), compare and contrast, hakuna hata kimoja vinafanana.Uko sawa sana. Mimi ni mkatoliki na hili unalolisema nalielewa sana. Mambo yote yenye ushahabiano na nguvu ya Roho mtakatifu ni kama hayapewi nafasi katika kanisa letu. Mmoja alitangulia kuandika hapa miujiza haina maana. Sasa unajiuliza ni kwa namna gani utageuza mioyo ya wasio ifahamu nguvu ya Mungu usipotenda mambo makuu ya Mungu. Kwa kweli tukaze kuliombea kanisa maana ni wengi wanaangamia kwa kutokuamini nguvu ya Roho mtakatifu. Mathayo 13:58 utaona Yesu hakufanya mujica wowote nyumbani kwao kwa sababu hawakuamini. Nadhan sababu kama hiyo inaweza kuwa ndio sababu kwa nini hatuoni ishara kubwa na nyingi ambazo Roho mtakatifu anaweza kufanya kupitia watakatifu wake.
Kuna wakati naona kanisa limejikita kwenye doctrine za kanisa kuliko ukuu wa Yesu kitu ambacho kwa sehemu huenda tunamuudhi sana Mungu
Wakatoliki hata makanisa yetu yamejificha ukiwa na shida yatafuteUkweli ni kwamba nipo home naperuzi stesheni za TV. Ukija clouds unakutana na chomoza, ukurudi chanel ten yupo Mwamposa. TVE yupo kuhani Musa. Wasafi yupo tena Mwamposa. Naperuzi zaidi nakutana na Upendo TV ya walutheri. Sasa Jumapili natoka kanisani kazi yangu ni kutazama maudhui ya madhehebu mengine tu? TV tumaini mmeshindwa kuingia DStv? Hata hivyo content mnazo?
Ukirudi kwenye redio ni yaleyale. Usiku redio zote zimeshikwa na hawa walokole. Namaanisha almost zote, tena hadi alfajiri. Ukija redio Tumaini na redio Maria ni sala %80. Hivi, ni nani anakaa au yuko nyumbani aache kufanya pilika za nyumani atulie kufuatilia sala redioni? Hata hao wanaoongoza sala redioni wametulia sehemu. Badilikeni
Waumini wakitoroka msiwalaumu. Kanisa katoliki ni kongwe kweli ila ifike sehemu mabadiliko, hasa kwenye uinjilishaji yawepo. Watu/waumini wanataka content.
Kanisa halijakosa waumini wenye karama za kuhubiri. Kwa nini wasipewe nafasi kwenye media? Kanisa halijakosa waumini wenye uwezo bunifu kwenye vipindi/maudhui. Mnatengeneza mazingira gani kuwawezesha hawa.
Niishie hapa kwa leo.
ANDIKO nimeweka hapa nimeongozwa na Roho Mtakatifu. Roho Mtakatifu ni Mungu, naomba Mungu akufungue ujue kwamba hata sileti tuhuma, natamani kila mtu ajue hicho nilichoandika kama ndio mapenzi ya Mungu. huo ndio ukweli halisi.Tuhuma zako ni nzito sana ila andiko lako linahitaji maswali.Roho mtakatifu ni nini au ni nani?Je ili andiko lako uliloweka hapa umeongozwa na Roho mtakatifu?